Habari wadau,
Mwijaku chawa na influencer maarufu amejenga nyumba ya ghorofa kigamboni
Mwijaku anafanya kazi amazo wengi tunaona ni za aibu ila ana maisha mazuri ambayo wasomi wengi wa zama zake hawana hata nusu yake.
Mwijaku ni graduate wa university of Dar es salaam (Udsm) class of 2013 - yaani kamaliza chuo miaka kumi iliyopita
Ujumbe wangu wewe Graduates unaeona aibu kufaanya kazi yoyote itakula kwako wewe na kizazi chako
Jiulize ni wangapi aliomaliza nao chuo ambao wanamzidi Mwijaku maisha ?
MWIJAKU SIO MVIVU ANAFANYA KAZI NYINGI SANA NDANI YA MUDA MMOJA. KOTE ANAPOKEA HELA
1. Anafanya kazi media Anatangaza clouds
2. Anafanya kazi media nyingine Star times anatangaza kipindi cha Mr right
3. Anafanya ya kuigiza. Anaigiza kwenye tamthilia ya DSTV kama main character
4. Anafanya kazi ya ubalozi wa kampuni ya Silent ocean
5. Anafanya kazi na serikali kama influencer wa awamu ya 6 ya Mama Samia.
6. Anapiga dili za wafanyabiashara wengine kibao. Anatangaza bidhaa za biashara za watu wengine wengi mfano Hamidu City, kampuni ya rangi na wengineo kibao
Mtu kama huyu anashindwaje kujenga nyumba ya milioni 400
Mwijaku chawa na influencer maarufu amejenga nyumba ya ghorofa kigamboni
Mwijaku anafanya kazi amazo wengi tunaona ni za aibu ila ana maisha mazuri ambayo wasomi wengi wa zama zake hawana hata nusu yake.
Mwijaku ni graduate wa university of Dar es salaam (Udsm) class of 2013 - yaani kamaliza chuo miaka kumi iliyopita
Ujumbe wangu wewe Graduates unaeona aibu kufaanya kazi yoyote itakula kwako wewe na kizazi chako
Jiulize ni wangapi aliomaliza nao chuo ambao wanamzidi Mwijaku maisha ?
MWIJAKU SIO MVIVU ANAFANYA KAZI NYINGI SANA NDANI YA MUDA MMOJA. KOTE ANAPOKEA HELA
1. Anafanya kazi media Anatangaza clouds
2. Anafanya kazi media nyingine Star times anatangaza kipindi cha Mr right
3. Anafanya ya kuigiza. Anaigiza kwenye tamthilia ya DSTV kama main character
4. Anafanya kazi ya ubalozi wa kampuni ya Silent ocean
5. Anafanya kazi na serikali kama influencer wa awamu ya 6 ya Mama Samia.
6. Anapiga dili za wafanyabiashara wengine kibao. Anatangaza bidhaa za biashara za watu wengine wengi mfano Hamidu City, kampuni ya rangi na wengineo kibao
Mtu kama huyu anashindwaje kujenga nyumba ya milioni 400