Nivea
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 7,459
- 4,748
njoo oficini kwangu uone kamera za cctv zinazozunguka kama pia wewe kama technologia uko nyuma ni wewe tulia kimyaBaada ya Mh.Mwigulu Nchemba kufichua namna CHADEMA walivyomuandaa video cameraman wa kurekodi tukio zima la bomu arusha.
Chadema wamekuja na DVR na CCTV.Kwanini wamekuja na kauli hii baada ya mwigulu?
Ni wazi Mh.mwigulu ametegea mbinu yao ndogo sana sasa wamechanganyikiwa.
Mitambo ya DVR na CCTV huwa haizunguki kuchukua tukio ina focal point moja tu.
DVR ya chadema inamikono inazunguka waliko watu,ikaona bomu ikalifuata lilipotua,ikamkimbilia mbowe alipo..ikarudi kwenye damu.
Uongo mliumbiwa