Nyie mende hebu punguzeni bangi bana,,,,, msigwa yeye kanisani kwake msaidizi wake ni pusha
Mchungaji wa Nguruwe bwana matatizo kila kukicha kweli sifa za chadomo lazima uwe na akili fupi
Namchukia sana mchungaji msigwa
Ni No 2...namba 1 ni mkuu wa kaya.Mwingulu ni jambazi no. 1 TZ
Ahsante kwa taarifa ya moto moto.
Nadhani Mwigulu amburuze mahakamani kwa kuwa hawakuwa bungeni ambako kuna kinga. Hata ningekuwa mimi ningemukwida.
Kwa maana hiyo Msigwa anataka kutuambia kwamba Mwigulu ndoiye aliyesababisha mauaji huko Arusha?
Ni No 2...namba 1 ni mkuu wa kaya.
Ahsante kwa taarifa ya moto moto.
Nadhani Mwigulu amburuze mahakamani kwa kuwa hawakuwa bungeni ambako kuna kinga. Hata ningekuwa mimi ningemukwida.
Kwa maana hiyo Msigwa anataka kutuambia kwamba Mwigulu ndoiye aliyesababisha mauaji huko Arusha?
Au alikugonga wewe ndio maana unakuwa kimbelembele
Tunakuelewa...unamchukia kutokana na dini yake. Angekuwa wa upande wako usingecoment hii kituNamchukia sana mchungaji msigwa
Katika tukio lililotokea leo kwenye ukumbi wa St.Gasper Dodoma ambako wabunge wote wapo kwenye semina ya masuala ya ukimwi ambayo inaendelea kumetokea mtifuano na nusura Mwigulu arushe ngumi baada ya Mch.Msigwa kumuita kuwa ni muuaji na hivyo atubu kutokana na damu za watoto wadogo na wakina mama wa Arusha ambao amekatiza maisha yao kwa sababu ya ukatili ambao hauwezi kuendelea kuvumiliwa kamwe.
Tukio hili lilifuatia baada ya wabunge wa Chadema ambao wameanza kurejea Dodoma kwenye Semina hiyo walipokuwa wakiwaambia wabunge wa CCM kuwa Bunge linarejea jumatatu kwani sasa limeshamaliza kukaaa kama kamati ya matumizi , hivyo litarejea kwani wabunge wa Chadema watakuwepo hali iliyozidisha hasira za wabunge hao ambao wengi wanaonekana kuwa na hang over za jana ktk kumuaga Sitta.
Mwigulu alinyanyuka kwenye kiti na kumfuata Msigwa na kumshika kifuani ila wabunge wenzake walienda kuamulia ugomvi huo na hali bado iko tete, semina inaendelea .
faida za kuwa Jf ni kupata habari za moto moto.
Haya si mnajifanya mazibu? Ingieni barabani ndio mtajua Pinda alimaanisha au la?
Hivi semina ya ukimwi??wabunge bado hawana taarifa juu ya UKIMWI??