njiwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 12,405
- 5,590
naona prof wa madrassa unamwaga lugha
you must be very lonely have'nt you got any dishes to wash right now..?
naona prof wa madrassa unamwaga lugha
Wee jamaa ni wa ajabu sana. Ukija JF, unaiponda CHADEMA kama nini, halafu tukikutana mtaani unajifanya unaiunga mkono na kuisifia. Upo kwa ajili ya kazi maalumu nini? Ni upande upi unademonstrate ukweli wako halisi; hapa jukwaani au tunapokutana physically. Wapi hasa imani yako halisi ilipo?Mchungaji wa Nguruwe bwana matatizo kila kukicha kweli sifa za chadomo lazima uwe na akili fupi
dishes from madrassa?
you must be very lonely have'nt you got any dishes to wash right now..?
[/SIZE said:Kaka Mtenga;6652738]
KWANI ULIKUWA NA MPANGO WA KUOLEWA NA MSIGWA? MLIBERALI TIPICAL SHAME ON YOU
Kaka Mtenga Jazba na kejeli za nini mate , Try to relax, and drink something cool, as you sound delirious.' & yeh namchukia mchungaji msigwa .. VIPI DO YOU HAVE ANY PROBLEM WITH THAT ..???
dishes from madrassa?
Ahsante kwa taarifa ya moto moto.
Nadhani Mwigulu amburuze mahakamani kwa kuwa hawakuwa bungeni ambako kuna kinga. Hata ningekuwa mimi ningemukwida.
Kwa maana hiyo Msigwa anataka kutuambia kwamba Mwigulu ndoiye aliyesababisha mauaji huko Arusha?
kwa vile hajaifadhi juzu?Kaka Mtenga Jazba na kejeli za nini mate , Try to relax, and drink something cool, as you sound delirious.' & yeh namchukia mchungaji msigwa .. VIPI DO YOU HAVE ANY PROBLEM WITH THAT ..???
Ukweli unauma hadi anataka kurusha ngumi,weka mbali ccm na watoto...Katika tukio lililotokea leo kwenye ukumbi wa St.Gasper Dodoma ambako wabunge wote wapo kwenye semina ya masuala ya ukimwi ambayo inaendelea kumetokea mtifuano na nusura Mwigulu arushe ngumi baada ya Mch.Msigwa kumuita kuwa ni muuaji na hivyo atubu kutokana na damu za watoto wadogo na wakina mama wa Arusha ambao amekatiza maisha yao kwa sababu ya ukatili ambao hauwezi kuendelea kuvumiliwa kamwe.
Tukio hili lilifuatia baada ya wabunge wa CHADEMA ambao wameanza kurejea Dodoma kwenye Semina hiyo walipokuwa wakiwaambia wabunge wa CCM kuwa Bunge linarejea jumatatu kwani sasa limeshamaliza kukaaa kama kamati ya matumizi , hivyo litarejea kwani wabunge wa CHADEMA watakuwepo hali iliyozidisha hasira za wabunge hao ambao wengi wanaonekana kuwa na hang over za jana ktk kumuaga Sitta.
Mwigulu alinyanyuka kwenye kiti na kumfuata Msigwa na kumshika kifuani ila wabunge wenzake walienda kuamulia ugomvi huo na hali bado iko tete, semina inaendelea .
faida za kuwa JF ni kupata habari za moto moto.
kwani nguruwe wanachungwa au unaota ndoto za pono!?mchungaji wa nguruwe bwana matatizo kila kukicha kweli sifa za chadomo lazima uwe na akili fupi
Ahsante kwa taarifa ya moto moto.
Nadhani Mwigulu amburuze mahakamani kwa kuwa hawakuwa bungeni ambako kuna kinga. Hata ningekuwa mimi ningemukwida.
Kwa maana hiyo Msigwa anataka kutuambia kwamba Mwigulu ndoiye aliyesababisha mauaji huko Arusha?
Kuna mshkaji wangu wamesoma na mwigulu primary anasema jamaa alikuwa anakula sana makamasi,alikuwa anadeka sana shuleni...Anajishaua angeweza kurusha ngumi kwa msigwa?
Wabunge hawakuwepo Bungeni kwa takribani wiki sasa, ndio wanarejea sasa.
namchukia sana mchungaji msigwa