Analipa wapi huko? Kumbuka umaskini unavyowalazimisha baadhi yetu kukubali matumizi makubwa ili eti waonekane wa maana. Sijui tangu lini mtu wa maana akawa na matumizi makubwa.
Analipa wapi? nchi gani? usikubali analosimuliwa. Kama kuna mtu anamchaji hivyo basi huyo Mkira wa ajabu! Au kahamishia maisha ya mtoto shuleni?
kwanza kabisa sikuelewa hamukunisoma vizuri au kwa kuwa nimeandika kwa haraka SIKUBALIANI NA MBOWE KULIPA HAYO MAMILIONI KWA AJILI YA MTOTO WAKE! ILA NIMAWALAUMU CCM KUWA GHARAMA ZA ELIMU ZIKO JUU SANA KWA MTU ASIE NA UWEZO! MIE NIMESEMA NA NDIO UKWELI KUWA NINALIPA PAYE KILA MWEZI 850,000/= ILA KINACHONIUMA NI KUWA ILI MTOTO WANGU ASOME ELIMU BORA BADO NITATAKIWA KULIPA ZAIDI YA MILION TENA KILA MWAKA CHEKECHEA AU PRIMARY NZURI! NA PIA NINALIPA 70000 ZA BIMA YA AFYA!! hivyo basi message yangu kwa ccm ni kuwa KUSANYENI KODI NA BORESHENI HUDUMA ZA JAMII!! ILA MBOE SIAMNI KAMA ANALIPA HIZO HELA KWA MWEZI NINADHANI KUNA EXXAGERATION KUBWA AU LABDA Anasomesha UK? na kama ni kweli ajiangalie na kujiluliza na KUTAFAKARI! ila ukwleli ni mfumo mbovu wa ccm wa kutotumia kodo vizuri unasababisha watanzania wengi wapate taabu wengine wanalipa laki sita kila muhulua na ipo mihula mitatu wakati huo huo unakuta mtu huyo mshahara wake haufiki milioni mbili kwa mwaka so what do you expect?! it is high time CCM must go haitajirekebisha! you can not teach the OLD DOG NEW TRICKS ZA KUSAIDIA WATANZANIA, START WITH THE YOUNG DOG CHADEMA?