Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 16,927
- 13,011
Leo mjengoni wwakati mh kiwia wa ilelemela akieleza jinsi alivyotaka kuuwawa na kusema kuwa gari la maria hewa wa ccm lilikuwa eneo la tukio, akasimama nchemba kutoa taarifa kuwa eti hata pale nje bungeni eti gari lipo then ndugai anacheka tu. kiwia akasema kuna watu wanafurahia matatizo ya watu then akaendelea kuchangia. sasa hii mutu inasimama na kuchekacheka anamanisha nin? poor first class economist