huyo alidesa tu si umeona kusoma kale kakitabu na kukaelewa imemghalimu wiki mojaMwigulu Nchemba akili yake imekaa kama kiudakuudaku vile!
...First Class aliyonayo inawezekana aliipata kwa kudesa au alikuwa Bingwa kukalili kuliko kuelewa... si rahisi intellectual person aka behave kwa namna yake.
mwigulu mchemba achafua hali ya hewa bungeni baada ya yeye kujikita takriban siku tatu mfululizo kuchambua typing error za za bajeti mbadala badala ya kujiklita kufatilia matatizo ya makubwa yanayokabili jimbo lake mkoani singida ameomba muongozo kurekebisha tarakimu zilizokosewa katika bajeti kivuri je wanajamvi mbunge huyu hana majukumu kwenye jimbo lake lissu kapinga atua hiyo na kumuonyesha yeye ni kiraza tu badala ya siku nne alizotulia kupitia bajeti hiyo alitakiwa ajikombe kwa waziri mkuu amplekee maji kwao. wanachi kule kwao wanawakilishwa na nani? jamani nyie wachumi mkanyeni kichaa huyu anawadhalilisha!
Acha uongo kijana Nchemba kasema mambo mazuri sana ameeleza udhaifu wa bajeti mbadala iliyowakilishwa na chadema kama imeandikwa kimakosa maneno yamerudiwa rudiwa na pia ameeleza makosa yaliyopo kwenye namna ya kutafuta pension kwa pensioners ,acha uongo na kupotosha ukweli ata mimi nimefuatilia bunge Mh Nchemba kasema facts alichokifanya Mh Lissu ni kusema hilo suala mjadala wake ulipita haina haja kujadili tena na kumuomba mh spika lijadiliwe suala lililopo mezani hajasema lolote la msingi ,Kijana acha kuficha ukweli na kusema uongo ili kupotosha umma na kuficha udhaifu wa bajeti mbadala mbovu ya Chadema ,tunajua unafanya hivyo kwa sababu ya posho unayopewa na chadema kuisemea vizuri mitandaoni ,Mh Nchemba amesema uandishi mbovu wa bajeti mbadala na uongozi wa chadema mumekili hilo huyu kijana anajifanya kupotosha ukweli msimuamini anaotumika kisiasa anayetaka kujua ukweli kujiridhisha afuatilie marudiio ya bunge la leo kipindi cha jioni tarehe 27 mtajua ukweli ,jamani tusitumike kusema uongo si vizuri ata kidogo uongo waweza haribu Amani,Umoja na Mshikamano wa watanzania!