mshana org
JF-Expert Member
- Jan 28, 2012
- 2,091
- 618
nimeangalia youtube huyu mpuuz hana sera anastahl kushtakiwa
Mosi, nianze kwa kukupa heshima kwa tafsiri nzuri kuhusiana na mbwa. Nimependezwa sana na mwelekeo chanya uliouonyesha kuhusiana na suala hili la mbwa kuvishwa bendera ya cdm.
Pili, kwa namna ulivyoeleza nimejikuta napata swali la haraka haraka kwamba kama waislam hawamtaki kabisa mbwa, hii ina maana gani in the context ya maelezo yako hapo juu?
Hata kama sio Mh Mwigulu aliyemvisha Mbwa bendera, lakini kuruhusu tukio hili ndani ya mkutano wake ni uvunjaji wa sheria. CDM ni chama kilichosajiriwa kwa mujibu wa sheria za Nchi, kitendo cha kumvisha Mbwa bendera ya chama cha upinzani ni kudhalilisha KATIBA YA NCHI.
Kwa kauli yake Mh Mwigulu basi alitakiwa azuiliwe kushiriki shughuli zote za kisiasa for ever. Mwigulu ansema "Vua gwanda valisha mbwa ndiyo operation niliyoianzisha imezinduliwa iramba" k
Chadema jifunzeni kuvumilia, hilo ni jambo la kawaida tu tena dogo sana na nitawaona wapuuzi sana kama mkikasirika na kununa ,mnaweza kuwavisha hata njiwa hizo bendera wakazipeperusha Tz nzima.
bora iwe kwako tu... mimi nina tatizo hapo, ni insult na pia kumtesa mbwaKwangu sionni tatizo kuvishwa mbwa bendera kwani mbwa kwangu ana nafasi kubwa katika ulinzi, ila kwa kumshikisha adabu na kwa kuwa kiutaratibu ni dharau kadiri ya sheria za Tanzania, basi Mwigulu Mchemba ashikishwe adabu kwa kumfikisha kwenye vyombo vya sheria. Afungwe pingu na waandishi wa habari wampige picha.
sio kila mwarabu ni muislamuUkifuata misaafu ambayo chimbuko la misaafu mingi ya dini ni mashariki ya kati utakuta yote inasema vibaya kuhusu mbwa na nguruwe, kama wakumbuka hata Nabii Isa alivyofukuza pepo na kuwaruhusu waingie ndani ya kundi la nguruwe na kuishia nguruwe wote kuzama ziwani.
Lakini hata kama waislamu wana imani kwamba mbwa ni mchafu, lakini wengi wao wanafuga mbwa.
Huko Tabora miaka michache iliyopita nilienda kununua mbwa kwa mfanya biashara mwarabu mtanzania anayeishi huko alikuwa na mbwa wazuri sana tu. Alinipa wa bure kwa maana kwamba mwisilamu hafanyi biashara ya mbwa. Lakini kilichonishangaza hakumshika kabisa ila watumishi wake. Nilijiuliza, iweje afuge mbwa wakati yeye anaona ni wachafu?
wauaji wengi huanza na kutesa wanyama.bila shaka mtu wa namna hii ni wa kuchunguzwa.
namuonea huruma mke/girlfriend wake kwa sababu studies zinaonyesha mtu anayenyanyasa wanyama mara nyingi hutesa familia yake.
mkiambiwa Mwigulu ana laana na anahusika na mauaji kutokana na akili yake kutokua sawa mnashangaa.... they guy is insane
Kweli huyo apelekwe hospitali ya Milembe!ni kama unashangaa Lusinde kutukana au nape kuropoka... huyo mwigulu si mwendawazimu.
Very shallow and poor thinking! Hivi nani anashindwa kuvalisha mbwa au nguruwe bendera au nembo ya chama au taasisi yoyote pinzani. Kama ingekuwa na tija unadhani Chadema wanashindwa kufanya hivyo hata kwa mbwa au nguruwe elfu moja kwa siku wakitaka kwenye mikutano yao inayoendelea kila kona ya nchi na kushuhudiwa na maelfu ya wananchi? Unadhani kwanini hawafanyi hivyo? Huo muda wa kukaa chini na mbwa, "kumbembeleza" na kumvalisha nguo watautoa wapi? Wana majukumu mazito kuliko low-level kama hizi.
Kama anadhani amepatia, hii itammaliza. Usirudie tena kutoa poor argument kama hii.
Mwigulu siasa za maji taka zitakutoa kwenye game.utafiti wangu mdogo unaonyesha mambo yako mengi ambayo unafanya yanakutambulisha ulivyo....una wivu wa kijinga,sifa za kijinga,unalazimisha fani isiyo yako.Endelea kujipaka pilipili machoni.hilo shimo ulilolichimba utatumbukia soon!