fugees
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 2,868
- 882
hivi wewe umefikiri kabla ya kuandika huu ujinga wako hapa? sasa watu wa vijijini hawapigi kura? CCM haipo kwa ajili ya watu wa mijini, mikoani, wilayani, katani wala kitongojini, CCM ipo kwa ajili ya wananchi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Kidumu chama cha mapinduzi kidumu daima.
kidumu cha chama cha mapinduzi kwa sasa kimetoboka sio kile cha kipindi cha mwalimu.