Mwezi wa Ramadhan: Zifahamu faida za kisayansi za kufunga kula chakula wasizozifahamu wafungaji

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,318
12,622
Kuna Kwaresima na Ramadhan miezi ambayo waumini wa Kikristo na Kiislam wanafunga kama sehemu ya imani zao kwa lengo la kumpendeza Mungu wao ili awasamehe dhambi au awape kibali cha kuingia peponi. Kwenye upande huu wa dini sintakuongelea zaidi kwakuwa imani ya mtu ni package ambayo haiko wazi kujadiliwa wa kukosolewa na mtu mwingine. Hata hivyo ikumbukwe kuwa Ukristo na Uisilam ni dini ambazo chimbuko lao ni Asia ya Kati, watu ambao wana mazingira, tabia, vyakula, utamaduni na bila shaka na magonjwa yanayofanana. Kufunga ilikuwa ni njia yao ya kuzuia (primary prevention) na kutibu (secondary prevention) magonjwa fulani fulani kwenye jamii zao. Njia hii ya kufunga kuacha kula chakula haifanyi kazi ya kukinga na kutibu magonjwa kwa wayahudi na waarabu tu bali hata kwa viumbe vyote vya mwenyezimungu ili vipate maisha marefu na afya tele.

Kufunga kula chakula kunasaidiaje kukinga na kutibu magonjwa kwa binadamu?

1. Kwa kukausha/kuchoma/kutumia mafuta mabaya yaliyozidi mwilini: Miili yetu ina tabia ya kuhifadhi vyakula vya ziada tunavyokula ili mwili wako ivitumie vyakula hivyo siku utakapokosa chakula.

Ugali, ubwabwa, viazi, majimbi, ngano, mihogo, soda, chai na vyakula vyote vya kutia mwili nguvu vinapoliwa kwa wingi kuliko mahitaji ya siku ya mwili huwa ziada inahifadhiwa ndani ya mwili kama sukari (glucose, fructose na galactose) kwa matumizi ya mwili ya sasa hivi na baadae kidogo kama masaa 4 kama utakuwa hujakula chakula kingine, lakini kama baada ya masaa 4 utaendelea kula chakula kingine na kupata glucose mpya mwili utageuza ile glucose/fructose/galactose ya kwanza kuwa glycogen, aina ya sukari ambayo ni ngumu kidogo mwili kuitumia kuliko glucose; glycogen inatakiwa itumike kutia nguvu mwili kama glucose iliyopo imekwisha mwilini. Lakini, Kama mtu ataendelea na kula kula kula chakula kuliko mahitaji ya mwili, mwili wake utaigeuza ile glycogen inayohifadhiwa kuwa mafuta (lipids).

Hivyo mafuta yanayopatikana kwa kula ziada ya Ugali, ubwabwa, viazi, majimbi, ngano, mihogo, soda, artificial juices na vyakula vyote vya kutia mwili nguvu yanaungana mwilini na mafuta mengine unayoongeza kwenye chakula kama vile mafuta ya mbegu za mimea (nazi, kweme, ufuta, alizeti, mahindi, mawese, pamba, korie, nk) pamoja na mafuta uliyokula yenye asili ya wanyama (jibini, siagi, nyama zilizonona, senene, kumbikumbi, nk) kutengeneza tabaka kubwa la mafuta (adipose tissue) mwilini, hivyo kusababisha mwili kuwa na kiwango kikubwa cha mafuta kuliko mahitaji ya mafuta yanayohitajika kwa kazi za mwili.

Changamoto za kuwa tabaka kubwa la mafuta mwilini:

Mafuta haya mwili unayahifadhi kwenye vioungo na sehemu mbalimbali za mwili kama vile tumbuni (vitambi), matakoni (wowowo), mapajani, shingoni, mikononi, misuli na kwenye ngozi. Kama sehemu zote hizi zikijaa mwili utayatafutia mafuta yako sehemu nyingine za kuyahifadhi kama vile kwenye utumbo, moyo, ndani ya mishipa ya damu, via vya uzazi, mafigo, ini na kila sehemu yenye nafasi, haiyatupi maana mwili hautupi chakula.

Kusudi kubwa la mwili wako kugeuza chakula chako cha ziada ulichokula kuwa mafuta na kuyahifadhi ni ili mwili wako uweze kuyatumia mafuta hayo kutoa nishati ya kusukuma mwili KAMA mwili wako utakosa chakula kwa muda mrefu (starvation), hivyo mtu mwenye mafuta mengi mwilini anaweza kuishi hata siku 30 bila kula chakula bila kufa. Katika kipindi hicho mwili utayaunguza/unayafagia/unayapakua/unayatumia mafuta yote ili kupata chakula.

Hivyo, changamoto za kutunza mafuta hayo mwilini ni mapoja na:

1. Kuongezeka uzito kuliko uwezo wa misuli yako (mifupa, tendons, muscles) inavyoweza kubeba.
2. Kuminya mishipa ya damu na fahamu, hii inasababisha presha na ganzi kwenye mikuu, mikono au kwenye makalio.
3. Kupunguza kiwango cha maji mwilini, Mtu mwenye mafuta mengi (mnene) ana kiwango kidogo cha maji.
4. Kupunguza tundu (lumen) la mishipa ya damu na kusababisha kupata ugonjwa wa pressha (high blood pressure, kiharusi)
5. Kupunguza kiwango cha dawa kutibu magonjwa (lazima dose yako iwe kubwa kuliko kawaida)
6. Kupunguza uwezo wa kongosho (pancrease) kutoa insulin na insulin kushindwa kuchakata chakula unachokula na kusababisha kupata ugonjwa wa Kisukari (diabetes)
7. Kupunguza nguvu za kiume
8. Kupumua kwa shida na kukoroma sana usingizini
9. Kupata ugumba na utasa
10. Kutembea kwa shida na miguu kupata maumivu
11. Kinga ya mwili kushuka
12. Kuongeza uwezekano wa kupata kansa (cancer) ya matiti, utumbo, ngozi, mfumo wa uzazi na viungo vingine.
13. Siku mafuta yaliyoko ndani ya mishipa ya damu yakimeguka na kuzunguuka pamoja na damu ndani ya mishipa yanaweza kwenda kuziba mishipa midogo midogo mwilini na kusababisha kiharusi au moyo kusimama kutegemea bonge la mafuta limeenda kukwamia wapi na kwenye kiungo gani.

Faida za kufanga ni zipi?
Kufunga kula chakula ni muhimu sana kwa kila mtu, sio kwaajili ya kwenda mbinguni tu, lakini kwa
1. kuzuia na kuponya magonjwa yote hayo niliyoyasema hapo juu kwa mwili kuyafagia mafuta mwilini kwa kiasi kikubwa.
2. Ini, tumbo, utumbo, kongosho na nyongo (bile) ndivyo vinavyofanya kazi kubwa ya kuchakata chakula na mafuta, hivyo kufunga kula chakula kutasaidia viungo hivyo kurudisha afya yake (kupunzika na kupona majeraha na uchovu)
3. Mafuta yakipungua magonjwa yote hayo yatapotea ghafla bin vuu.
4. Kufunga kunaongeza uwezo wako wa kufikiri, kutafakari na kuzingatia (focus). Hii inasaidia kwenye kutatua shida na migogoro na mahusiano yako na watu wengine kwa kumaanisha.

Hivyo kufunga sio tu ni ibada lakini ni tiba kamili kwa viumbe, usisubiri mpaka Ramadhan na Kwaresma ndipo ufunge, unakosa mengi sana,

Namna ya kufunga:
Hakikisha kuwa unafunga kula chakula na vinywaji vyenye sukari, sio kama wengine wanavyosema kuwa wamefunga kusema uongo, sijui kuseng'enya na nini, Kufunga ni kuacha kula chakula kwa masaa 12. Unaweza kunywa maji tu kwa wanaofunga kwajili ya afya ya magonjwa haya.

1.Wakati wa kufungua jioni hakikisha kuwa huli vyakula viiiingi na vyenye mafuta mengi kama wengine wanavyofanya wakati wa kufungua. Kunywa maji mengi na matunda zaidi ukishafungua jioni na baada ya nusu saa ndio ule vyakula vingine vya kawaida.
2. Usile daku alfajiri ili kupunguza ukali wa njaa, hapo utakuwa umejidanganya mwenyewe, kula kama kawaida yako.
3. Anza kufungua kwa kula vitu vyepesi kama maji, matunda, juice isiyokuwa na sukari, au uji usiokuwa na sukari. Epuka soda na vitu vitamu sana kama halua.
4. Usichanganye nyama na carbohydrates kwenye mlo mmoja, usichanganye matunda na chakula pamoja, usichanganye maziwa na chakula kwenye mlo.
5. Fanya mazoezi, fanya kazi, usilale wakati umefunga ili kupata ubora wa kufunga.
6. Wakati umefunga jaribu tena kuTatua migogoro iliyokushinda huko nyuma utaona maajabu makubwa.

Hawa Wayahudi na Waarabu nina uhakika elimu hii ya kufunga kwa afya walikuwa nayo tangu siku nyingi ndio maana ukawa utamadini wao ukaingizwa kwenye dini, tuwapigie makofi mengi.

Kama una swali niulize, nimejikita kwenye sayansi za afya sio kwenye dini ya huyu wala yule, samahani, msinipige mawe.
 
Kuna Kwaresima na Ramadhan miezi ambayo waumini wa Kikristo na Kiislam wanafunga kama sehemu ya imani zao kwa lengo la kumpendeza Mungu wao ili awasamehe dhambi au awape kibali cha kuingia peponi. Kwenye upande huu wa dini sintakuongelea zaidi kwakuwa imani ya mtu ni package ambayo haiko wazi kujadiliwa wa kukosolewa na mtu mwingine. Hata hivyo ikumbukwe kuwa Ukristo na Uisilam ni dini ambazo chimbuko lao ni Asia ya Kati, watu ambao wana mazingira, tabia, vyakula, utamaduni na bila shaka na magonjwa yanayofanana. Kufunga ilikuwa ni njia yao ya kuzuia (primary prevention) na kutibu (secondary prevention) magonjwa fulani fulani kwenye jamii zao. Njia hii ya kufunga kuacha kula chakula haifanyi kazi ya kukinga na kutibu magonjwa kwa wayahudi na waarabu tu bali hata kwa viumbe vyote vya mwenyezimungu ili vipate maisha marefu na afya tele.

Kufunga kula chakula kunasaidiaje kukinga na kutibu magonjwa kwa binadamu?
1. Kwa kukausha/kuchoma/kutumia mafuta mabaya yaliyozidi mwilini: Miili yetu ina tabia ya kuhifadhi vyakula vya ziada tunavyokula ili mwili wako ivitumie vyakula hivyo siku utakapokosa chakula. Ugali, ubwabwa, viazi, majimbi, ngano, mihogo, soda, chai na vyakula vyote vya kutia mwili nguvu vinapoliwa kwa wingi kuliko mahitaji ya siku ya mwili huwa ziada inahifadhiwa ndani ya mwili kama sukari (glucose, fructose na galactose) kwa matumizi ya mwili ya sasa hivi na baadae kidogo kama masaa 4 kama utakuwa hujakula chakula kingine, lakini kama baada ya masaa 4 utaendelea kula chakula kingine na kupata glucose mpya mwili utageuza ile glucose/fructose/galactose ya kwanza kuwa glycogen, aina ya sukari ambayo ni ngumu kidogo mwili kuitumia kuliko glucose; glycogen inatakiwa itumike kutia nguvu mwili kama glucose iliyopo imekwisha mwilini. Lakini, Kama mtu ataendelea na kula kula kula chakula kuliko mahitaji ya mwili, mwili wake utaigeuza ile glycogen inayohifadhiwa kuwa mafuta (lipids). Hivyo mafuta yanayopatikana kwa kula ziada ya Ugali, ubwabwa, viazi, majimbi, ngano, mihogo, soda, artificial juices na vyakula vyote vya kutia mwili nguvu yanaungana mwilini na mafuta mengine unayoongeza kwenye chakula kama vile mafuta ya mbegu za mimea (nazi, kweme, ufuta, alizeti, mahindi, mawese, pamba, korie, nk) pamoja na mafuta uliyokula yenye asili ya wanyama (jibini, siagi, nyama zilizonona, senene, kumbikumbi, nk) kutengeneza tabaka kubwa la mafuta (adipose tissue) mwilini, hivyo kusababisha mwili kuwa na kiwango kikubwa cha mafuta kuliko mahitaji ya mafuta yanayohitajika kwa kazi za mwili.

Changamoto za kuwa tabaka kubwa la mafuta mwilini:
Mafuta haya mwili unayahifadhi kwenye vioungo na sehemu mbalimbali za mwili kama vile tumbuni (vitambi), matakoni (wowowo), mapajani, shingoni, mikononi, misuli na kwenye ngozi. Kama sehemu zote hizi zikijaa mwili utayatafutia mafuta yako sehemu nyingine za kuyahifadhi kama vile kwenye utumbo, moyo, ndani ya mishipa ya damu, via vya uzazi, mafigo, ini na kila sehemu yenye nafasi, haiyatupi maana mwili hautupi chakula.

Kusudi kubwa la mwili wako kugeuza chakula chako cha ziada ulichokula kuwa mafuta na kuyahifadhi ni ili mwili wako uweze kuyatumia mafuta hayo kutoa nishati ya kusukuma mwili KAMA mwili wako utakosa chakula kwa muda mrefu (starvation), hivyo mtu mwenye mafuta mengi mwilini anaweza kuishi hata siku 30 bila kula chakula bila kufa. Katika kipindi hicho mwili utayaunguza/unayafagia/unayapakua/unayatumia mafuta yote ili kupata chakula.

Hivyo, changamoto za kutunza mafuta hayo mwilini ni mapoja na:
1. Kuongezeka uzito kuliko uwezo wa misuli yako (mifupa, tendons, muscles) inavyoweza kubeba.
2. Kuminya mishipa ya damu na fahamu, hii inasababisha presha na ganzi kwenye mikuu, mikono au kwenye makalio.
3. Kupunguza kiwango cha maji mwilini, Mtu mwenye mafuta mengi (mnene) ana kiwango kidogo cha maji.
4. Kupunguza tundu (lumen) la mishipa ya damu na kusababisha kupata ugonjwa wa pressha (high blood pressure, kiharusi)
5. Kupunguza kiwango cha dawa kutibu magonjwa (lazima dose yako iwe kubwa kuliko kawaida)
6. Kupunguza uwezo wa kongosho (pancrease) kutoa insulin na insulin kushindwa kuchakata chakula unachokula na kusababisha kupata ugonjwa wa Kisukari (diabetes)
7. Kupunguza nguvu za kiume
8. Kupumua kwa shida na kukoroma sana usingizini
9. Kupata ugumba na utasa
10. Kutembea kwa shida na miguu kupata maumivu
11. Kinga ya mwili kushuka
12. Kuongeza uwezekano wa kupata kansa (cancer) ya matiti, utumbo, ngozi, mfumo wa uzazi na viungo vingine.
13. Siku mafuta yaliyoko ndani ya mishipa ya damu yakimeguka na kuzunguuka pamoja na damu ndani ya mishipa yanaweza kwenda kuziba mishipa midogo midogo mwilini na kusababisha kiharusi au moyo kusimama kutegemea bonge la mafuta limeenda kukwamia wapi na kwenye kiungo gani.

Faida za kufanga ni zipi?
Kufunga kula chakula ni muhimu sana kwa kila mtu, sio kwaajili ya kwenda mbinguni tu, lakini kwa
1. kuzuia na kuponya magonjwa yote hayo niliyoyasema hapo juu kwa mwili kuyafagia mafuta mwilini kwa kiasi kikubwa.
2. Ini, tumbo, utumbo, kongosho na nyongo (bile) ndivyo vinavyofanya kazi kubwa ya kuchakata chakula na mafuta, hivyo kufunga kula chakula kutasaidia viungo hivyo kurudisha afya yake (kupunzika na kupona majeraha na uchovu)
3. Mafuta yakipungua magonjwa yote hayo yatapotea ghafla bin vuu.
4. Kufunga kunaongeza uwezo wako wa kufikiri, kutafakari na kuzingatia (focus). Hii inasaidia kwenye kutatua shida na migogoro na mahusiano yako na watu wengine kwa kumaanisha.

Hivyo kufunga sio tu ni ibada lakini ni tiba kamili kwa viumbe, usisubiri mpaka Ramadhan na Kwaresma ndipo ufunge, unakosa mengi sana,

Namna ya kufunga:
Hakikisha kuwa unafunga kula chakula na vinywaji vyenye sukari, sio kama wengine wanavyosema kuwa wamefunga kusema uongo, sijui kuseng'enya na nini, Kufunga ni kuacha kula chakula kwa masaa 12. Unaweza kunywa maji tu kwa wanaofunga kwajili ya afya ya magonjwa haya.

1,Wakati wa kufungua jioni hakikisha kuwa huli vyakula viiiingi na vyenye mafuta mengi kama wengine wanavyofanya wakati wa kufungua. Kunywa maji mengi na matunda zaidi ukishafungua jioni na baada ya nusu saa ndio ule vyakula vingine vya kawaida.
2. Usile daku alfajiri ili kupunguza ukali wa njaa, hapo utakuwa umejidanganya mwenyewe, kula kama kawaida yako.
3. Anza kufungua kwa kula vitu vyepesi kama maji, matunda, juice isiyokuwa na sukari, au uji usiokuwa na sukari. Epuka soda na vitu vitamu sana kama halua.
4. Usichanganye nyama na carbohydrates kwenye mlo mmoja, usichanganye matunda na chakula pamoja, usichanganye maziwa na chakula kwenye mlo.
5. Fanya mazoezi, fanya kazi, usilale wakati umefunga ili kupata ubora wa kufunga.
6. Wakati umefunga jaribu tena kuTatua migogoro iliyokushinda huko nyuma utaona maajabu makubwa.

Hawa Wayahudi na Waarabu nina uhakika elimu hii ya kufunga kwa afya walikuwa nayo tangu siku nyingi ndio maana ukawa utamadini wao ukaingizwa kwenye dini, tuwapigie makofi mengi.

.Kama una swali niulize, nimejikita kwenye sayansi za afya sio kwenye dini ya huyu wala yule, samahani, msinipige mawe.
Umeniamsha haya ndo matumizi sahihi ya mtandao
 
mkuu hongera kwa kutujuza. kuna kitu kinaitwa autophagy,unaweza kunitofautishia na kufunga
 
Jamii forum management fundisheni watu jinsi ya kusearch story kabla hatujaandika ili iwe raisi kui_link na story mpya.

Although story kama hii ipo humu kitambo, mojawapo ni hii hapa...


 
Jamii forum management fundisheni watu jinsi ya kusearch story kabla hatujaandika ili iwe raisi kui_link na story mpya.

Although story kama hii ipo humu kitambo, mojawapo ni hii hapa...


Itakubidi wewe uwafundishe, kwanini iwe jf management? Kuna edition mbalimabali kwa kitu hichochote.
 
Mwili wa binadamu umekosana na vyakula hivi vifuatavyo:
1. Pombe nyingi ya kila siku na kila wakati: ini linakasirika sana kuliletea pombe mwilini. Ini linaiangalia pombe kama sumu isiyotakuwa kwenda kwenye damu. Hii inalifanya lipambane sana kuzuia isipite kwenda mwilini. Kazi hii inalichosa sana ini na kulipatia majeraha.
2. Protein nyingi kupita kiasi. Ini linapambana kuiharibu protein ili ibaki glucose. Linafanya hivyo kwa kuvunja protein kuiondoa amine (deamination) na kuitupa kwenye mafigo itoke nje kama ammonia. Kazi hii inalichosha ini lako sana na kuzalisha mkonjo wenye harufu Kali sana ya ammonia (pungent smell). Kula protein ya kiasi TU.
3. Nyama, miili yetu haitaki kuchakata nyama kabisa. Hii kazi inauchosha utumbo na ini kwa kiasi kikubwa. Wengi wanaopata Kansa za utumbo ni Wala nyama nyingi.
4. Kuchanganya ugali/wali/carbohydrates na nyama pamoja. Watu wengi wenye shida ya kupata choo kikubwa ni wale wanaokula ugali na nyama kama kitoweo.
5. Sukari nyingi: sukari nyingi inakwenda kulichosha kongosho lako kwa kuzalisha insulin nyingi ghafla ili kuchakata sukari.
7. Mafuta: mafuta mengi yanakorofisha Ini kuzalisha nyongo nyingi ichakate mafuta uliyomeza.
8. Caffeine. Vinywaji vyote vya energy vimejazwa caffeine nyingi sana, inaharibu mafigo, moyo
9. Kuchanganya nafaka zaidi ya moja kwenye mlo mmoja. Kuna watu wanachanganya mahindi, ulezi, mtama, ngano, mchele kwenye mlo mmoja. Mtindo huu ukome mara moja.
10. Kuchanganya matunda, hasa Yale machachu kama passion na nasi na baridi kama matango na parachichi.
11. Matunda na chakula pamoja
12. Maziwa na chakula pamoja.

Mwili ukiufanyia haya unatamani ufe mapema ili usizidi kuusumbua.
 
Mwili wa binadamu umekosana na vyakula hivi vifuatavyo:
1. Pombe nyingi ya kila siku na kila wakati: ini linakasirika sana kuliletea pombe mwilini. Ini linaiangalia pombe kama sumu isiyotakuwa kwenda kwenye damu. Hii inalifanya lipambane sana kuzuia isipite kwenda mwilini. Kazi hii inalichosa sana ini na kulipatia majeraha.
2. Protein nyingi kupita kiasi. Ini linapambana kuiharibu protein ili ibaki glucose. Linafanya hivyo kwa kuvunja protein kuiondoa amine (deamination) na kuitupa kwenye mafigo itoke nje kama ammonia. Kazi hii inalichosha ini lako sana na kuzalisha mkonjo wenye harufu Kali sana ya ammonia (pungent smell). Kula protein ya kiasi TU.
3. Nyama, miili yetu haitaki kuchakata nyama kabisa. Hii kazi inauchosha utumbo na ini kwa kiasi kikubwa. Wengi wanaopata Kansa za utumbo ni Wala nyama nyingi.
4. Kuchanganya ugali/wali/carbohydrates na nyama pamoja. Watu wengi wenye shida ya kupata choo kikubwa ni wale wanaokula ugali na nyama kama kitoweo.
5. Sukari nyingi: sukari nyingi inakwenda kulichosha kongosho lako kwa kuzalisha insulin nyingi ghafla ili kuchakata sukari.
7. Mafuta: mafuta mengi yanakorofisha Ini kuzalisha nyongo nyingi ichakate mafuta uliyomeza.
8. Caffeine. Vinywaji vyote vya energy vimejazwa caffeine nyingi sana, inaharibu mafigo, moyo
9. Kuchanganya nafaka zaidi ya moja kwenye mlo mmoja. Kuna watu wanachanganya mahindi, ulezi, mtama, ngano, mchele kwenye mlo mmoja. Mtindo huu ukome mara moja.
10. Kuchanganya matunda, hasa Yale machachu kama passion na nasi na baridi kama matango na parachichi.
11. Matunda na chakula pamoja
12. Maziwa na chakula pamoja.

Mwili ukiufanyia haya unatamani ufe mapema ili usizidi kuusumbua.
Wengi wanakuja inbox kuuliza, bora tu nijibu hapahapa hadharani. IKo hivii, binadamu alikuweko karne nyingi sana zilizopita bila kuwepo kwa hospitali na vipimo kama vya sasa. Walikufa sana kwa magonjwa, sumu za mimea na wadudu mbalimbali kama nyoka na nge. Vitu pekee vilivyowasaidia kuwa na afya ni hivi vifuatavyo:
1. kula vyakula na matunda mendi ya asili
2. Kufanya kazi za nguvu na kutembea kwa miguu kila wanakokwenda
3. Hawakuwa na umeme hivyo walilala mapema sana, walipata usingizi wa kutosha.
4. Hawakuwa na mafriji, hivyo hawakutumia vitu vya baridi kama maji, soda, ice cream, juices, na vyakula. Usagaji wa vyakula tumboni unakosana sana sana sana na vitu vya baridi, mwili unachukia kwelikweli kusokomeza vitu barini tumboni.
5. Walikuwa na wanawake wengi lakini hawakuhangaika sana na kuwafikisha kileleni. Leo hii ni kitu cha lazima na kama hutafanya hivyo utakiona cha mtema kuni.
6. Kulikuwa hakuna sukari, mafuta ya galoni ya chakula, walitumia asali na miwa tu na mbegu za asili za mafuta. vyakula vingi vilikuwa vinachemshwa tu au kuliwa vibichi.
7. Hakukuwa na pombe kama gongo, konyaji, vodika, nk. walikuwa wanakunywa pombe kama aina ya chakula humohumo kwa kutumia mtama, mahindi, ulezi, uwele, ndizi, asali kusaidia kuburudika lakini na kupata afya pia. Ndio maana hakuna dini inayokatakaza kunywa pombe kabisa, ila dini zote zinakataza ulevi, ulevi. Yaani unywe responsibly.

Hii iliwasaidia sana kuimarisha afya zao
 
Kuna Kwaresima na Ramadhan miezi ambayo waumini wa Kikristo na Kiislam wanafunga kama sehemu ya imani zao kwa lengo la kumpendeza Mungu wao ili awasamehe dhambi au awape kibali cha kuingia peponi. Kwenye upande huu wa dini sintakuongelea zaidi kwakuwa imani ya mtu ni package ambayo haiko wazi kujadiliwa wa kukosolewa na mtu mwingine. Hata hivyo ikumbukwe kuwa Ukristo na Uisilam ni dini ambazo chimbuko lao ni Asia ya Kati, watu ambao wana mazingira, tabia, vyakula, utamaduni na bila shaka na magonjwa yanayofanana. Kufunga ilikuwa ni njia yao ya kuzuia (primary prevention) na kutibu (secondary prevention) magonjwa fulani fulani kwenye jamii zao. Njia hii ya kufunga kuacha kula chakula haifanyi kazi ya kukinga na kutibu magonjwa kwa wayahudi na waarabu tu bali hata kwa viumbe vyote vya mwenyezimungu ili vipate maisha marefu na afya tele.

Kufunga kula chakula kunasaidiaje kukinga na kutibu magonjwa kwa binadamu?
1. Kwa kukausha/kuchoma/kutumia mafuta mabaya yaliyozidi mwilini: Miili yetu ina tabia ya kuhifadhi vyakula vya ziada tunavyokula ili mwili wako ivitumie vyakula hivyo siku utakapokosa chakula. Ugali, ubwabwa, viazi, majimbi, ngano, mihogo, soda, chai na vyakula vyote vya kutia mwili nguvu vinapoliwa kwa wingi kuliko mahitaji ya siku ya mwili huwa ziada inahifadhiwa ndani ya mwili kama sukari (glucose, fructose na galactose) kwa matumizi ya mwili ya sasa hivi na baadae kidogo kama masaa 4 kama utakuwa hujakula chakula kingine, lakini kama baada ya masaa 4 utaendelea kula chakula kingine na kupata glucose mpya mwili utageuza ile glucose/fructose/galactose ya kwanza kuwa glycogen, aina ya sukari ambayo ni ngumu kidogo mwili kuitumia kuliko glucose; glycogen inatakiwa itumike kutia nguvu mwili kama glucose iliyopo imekwisha mwilini. Lakini, Kama mtu ataendelea na kula kula kula chakula kuliko mahitaji ya mwili, mwili wake utaigeuza ile glycogen inayohifadhiwa kuwa mafuta (lipids). Hivyo mafuta yanayopatikana kwa kula ziada ya Ugali, ubwabwa, viazi, majimbi, ngano, mihogo, soda, artificial juices na vyakula vyote vya kutia mwili nguvu yanaungana mwilini na mafuta mengine unayoongeza kwenye chakula kama vile mafuta ya mbegu za mimea (nazi, kweme, ufuta, alizeti, mahindi, mawese, pamba, korie, nk) pamoja na mafuta uliyokula yenye asili ya wanyama (jibini, siagi, nyama zilizonona, senene, kumbikumbi, nk) kutengeneza tabaka kubwa la mafuta (adipose tissue) mwilini, hivyo kusababisha mwili kuwa na kiwango kikubwa cha mafuta kuliko mahitaji ya mafuta yanayohitajika kwa kazi za mwili.

Changamoto za kuwa tabaka kubwa la mafuta mwilini:
Mafuta haya mwili unayahifadhi kwenye vioungo na sehemu mbalimbali za mwili kama vile tumbuni (vitambi), matakoni (wowowo), mapajani, shingoni, mikononi, misuli na kwenye ngozi. Kama sehemu zote hizi zikijaa mwili utayatafutia mafuta yako sehemu nyingine za kuyahifadhi kama vile kwenye utumbo, moyo, ndani ya mishipa ya damu, via vya uzazi, mafigo, ini na kila sehemu yenye nafasi, haiyatupi maana mwili hautupi chakula.

Kusudi kubwa la mwili wako kugeuza chakula chako cha ziada ulichokula kuwa mafuta na kuyahifadhi ni ili mwili wako uweze kuyatumia mafuta hayo kutoa nishati ya kusukuma mwili KAMA mwili wako utakosa chakula kwa muda mrefu (starvation), hivyo mtu mwenye mafuta mengi mwilini anaweza kuishi hata siku 30 bila kula chakula bila kufa. Katika kipindi hicho mwili utayaunguza/unayafagia/unayapakua/unayatumia mafuta yote ili kupata chakula.

Hivyo, changamoto za kutunza mafuta hayo mwilini ni mapoja na:
1. Kuongezeka uzito kuliko uwezo wa misuli yako (mifupa, tendons, muscles) inavyoweza kubeba.
2. Kuminya mishipa ya damu na fahamu, hii inasababisha presha na ganzi kwenye mikuu, mikono au kwenye makalio.
3. Kupunguza kiwango cha maji mwilini, Mtu mwenye mafuta mengi (mnene) ana kiwango kidogo cha maji.
4. Kupunguza tundu (lumen) la mishipa ya damu na kusababisha kupata ugonjwa wa pressha (high blood pressure, kiharusi)
5. Kupunguza kiwango cha dawa kutibu magonjwa (lazima dose yako iwe kubwa kuliko kawaida)
6. Kupunguza uwezo wa kongosho (pancrease) kutoa insulin na insulin kushindwa kuchakata chakula unachokula na kusababisha kupata ugonjwa wa Kisukari (diabetes)
7. Kupunguza nguvu za kiume
8. Kupumua kwa shida na kukoroma sana usingizini
9. Kupata ugumba na utasa
10. Kutembea kwa shida na miguu kupata maumivu
11. Kinga ya mwili kushuka
12. Kuongeza uwezekano wa kupata kansa (cancer) ya matiti, utumbo, ngozi, mfumo wa uzazi na viungo vingine.
13. Siku mafuta yaliyoko ndani ya mishipa ya damu yakimeguka na kuzunguuka pamoja na damu ndani ya mishipa yanaweza kwenda kuziba mishipa midogo midogo mwilini na kusababisha kiharusi au moyo kusimama kutegemea bonge la mafuta limeenda kukwamia wapi na kwenye kiungo gani.

Faida za kufanga ni zipi?
Kufunga kula chakula ni muhimu sana kwa kila mtu, sio kwaajili ya kwenda mbinguni tu, lakini kwa
1. kuzuia na kuponya magonjwa yote hayo niliyoyasema hapo juu kwa mwili kuyafagia mafuta mwilini kwa kiasi kikubwa.
2. Ini, tumbo, utumbo, kongosho na nyongo (bile) ndivyo vinavyofanya kazi kubwa ya kuchakata chakula na mafuta, hivyo kufunga kula chakula kutasaidia viungo hivyo kurudisha afya yake (kupunzika na kupona majeraha na uchovu)
3. Mafuta yakipungua magonjwa yote hayo yatapotea ghafla bin vuu.
4. Kufunga kunaongeza uwezo wako wa kufikiri, kutafakari na kuzingatia (focus). Hii inasaidia kwenye kutatua shida na migogoro na mahusiano yako na watu wengine kwa kumaanisha.

Hivyo kufunga sio tu ni ibada lakini ni tiba kamili kwa viumbe, usisubiri mpaka Ramadhan na Kwaresma ndipo ufunge, unakosa mengi sana,

Namna ya kufunga:
Hakikisha kuwa unafunga kula chakula na vinywaji vyenye sukari, sio kama wengine wanavyosema kuwa wamefunga kusema uongo, sijui kuseng'enya na nini, Kufunga ni kuacha kula chakula kwa masaa 12. Unaweza kunywa maji tu kwa wanaofunga kwajili ya afya ya magonjwa haya.

1,Wakati wa kufungua jioni hakikisha kuwa huli vyakula viiiingi na vyenye mafuta mengi kama wengine wanavyofanya wakati wa kufungua. Kunywa maji mengi na matunda zaidi ukishafungua jioni na baada ya nusu saa ndio ule vyakula vingine vya kawaida.
2. Usile daku alfajiri ili kupunguza ukali wa njaa, hapo utakuwa umejidanganya mwenyewe, kula kama kawaida yako.
3. Anza kufungua kwa kula vitu vyepesi kama maji, matunda, juice isiyokuwa na sukari, au uji usiokuwa na sukari. Epuka soda na vitu vitamu sana kama halua.
4. Usichanganye nyama na carbohydrates kwenye mlo mmoja, usichanganye matunda na chakula pamoja, usichanganye maziwa na chakula kwenye mlo.
5. Fanya mazoezi, fanya kazi, usilale wakati umefunga ili kupata ubora wa kufunga.
6. Wakati umefunga jaribu tena kuTatua migogoro iliyokushinda huko nyuma utaona maajabu makubwa.

Hawa Wayahudi na Waarabu nina uhakika elimu hii ya kufunga kwa afya walikuwa nayo tangu siku nyingi ndio maana ukawa utamadini wao ukaingizwa kwenye dini, tuwapigie makofi mengi.

.Kama una swali niulize, nimejikita kwenye sayansi za afya sio kwenye dini ya huyu wala yule, samahani, msinipige mawe.
Mie nauliza hii mambo ya kusema usichanganye chakkula hiki au kile kwani utumbo nao una compartments za aina tofauti za vyakula? Meanning vyakula tumbni havichanganyiki?
 
Wengi wanakuja inbox kuuliza, bora tu nijibu hapahapa hadharani. IKo hivii, binadamu alikuweko karne nyingi sana zilizopita bila kuwepo kwa hospitali na vipimo kama vya sasa. Walikufa sana kwa magonjwa, sumu za mimea na wadudu mbalimbali kama nyoka na nge. Vitu pekee vilivyowasaidia kuwa na afya ni hivi vifuatavyo:
1. kula vyakula na matunda mendi ya asili
2. Kufanya kazi za nguvu na kutembea kwa miguu kila wanakokwenda
3. Hawakuwa na umeme hivyo walilala mapema sana, walipata usingizi wa kutosha.
4. Hawakuwa na mafriji, hivyo hawakutumia vitu vya baridi kama maji, soda, ice cream, juices, na vyakula. Usagaji wa vyakula tumboni unakosana sana sana sana na vitu vya baridi, mwili unachukia kwelikweli kusokomeza vitu barini tumboni.
5. Walikuwa na wanawake wengi lakini hawakuhangaika sana na kuwafikisha kileleni. Leo hii ni kitu cha lazima na kama hutafanya hivyo utakiona cha mtema kuni.
6. Kulikuwa hakuna sukari, mafuta ya galoni ya chakula, walitumia asali na miwa tu na mbegu za asili za mafuta. vyakula vingi vilikuwa vinachemshwa tu au kuliwa vibichi.
7. Hakukuwa na pombe kama gongo, konyaji, vodika, nk. walikuwa wanakunywa pombe kama aina ya chakula humohumo kwa kutumia mtama, mahindi, ulezi, uwele, ndizi, asali kusaidia kuburudika lakini na kupata afya pia. Ndio maana hakuna dini inayokatakaza kunywa pombe kabisa, ila dini zote zinakataza ulevi, ulevi. Yaani unywe responsibly.

Hii iliwasaidia sana kuimarisha afya zao
Kumbe kuwa na wananwake wengi kunaimarisha afya
 
Kumbe kuwa na wananwake wengi kunaimarisha afya
Kuwa na wanawake wengi ni changamoto kwa wanaume wa zamani, lakini walikuwa wanaweza kukabiliana nayo kwakuwa wao hawakulazimika kuwafikisha kileleni na walikuwa wanakwepa kuwafikisha kileleni ili wasizoee kufurahia tendo, walichohitaji ni wao tu kutoa mbegu ili mwanamke azae baaasi. Kutimiza azima yao hii ya wanawake kutowasumbua sana walikuwa hawapendi kuoa mwanamke ambae hajatahiriwa (women circumcision).
 
Kuna Kwaresima na Ramadhan miezi ambayo waumini wa Kikristo na Kiislam wanafunga kama sehemu ya imani zao kwa lengo la kumpendeza Mungu wao ili awasamehe dhambi au awape kibali cha kuingia peponi. Kwenye upande huu wa dini sintakuongelea zaidi kwakuwa imani ya mtu ni package ambayo haiko wazi kujadiliwa wa kukosolewa na mtu mwingine. Hata hivyo ikumbukwe kuwa Ukristo na Uisilam ni dini ambazo chimbuko lao ni Asia ya Kati, watu ambao wana mazingira, tabia, vyakula, utamaduni na bila shaka na magonjwa yanayofanana. Kufunga ilikuwa ni njia yao ya kuzuia (primary prevention) na kutibu (secondary prevention) magonjwa fulani fulani kwenye jamii zao. Njia hii ya kufunga kuacha kula chakula haifanyi kazi ya kukinga na kutibu magonjwa kwa wayahudi na waarabu tu bali hata kwa viumbe vyote vya mwenyezimungu ili vipate maisha marefu na afya tele.

Kufunga kula chakula kunasaidiaje kukinga na kutibu magonjwa kwa binadamu?
1. Kwa kukausha/kuchoma/kutumia mafuta mabaya yaliyozidi mwilini: Miili yetu ina tabia ya kuhifadhi vyakula vya ziada tunavyokula ili mwili wako ivitumie vyakula hivyo siku utakapokosa chakula. Ugali, ubwabwa, viazi, majimbi, ngano, mihogo, soda, chai na vyakula vyote vya kutia mwili nguvu vinapoliwa kwa wingi kuliko mahitaji ya siku ya mwili huwa ziada inahifadhiwa ndani ya mwili kama sukari (glucose, fructose na galactose) kwa matumizi ya mwili ya sasa hivi na baadae kidogo kama masaa 4 kama utakuwa hujakula chakula kingine, lakini kama baada ya masaa 4 utaendelea kula chakula kingine na kupata glucose mpya mwili utageuza ile glucose/fructose/galactose ya kwanza kuwa glycogen, aina ya sukari ambayo ni ngumu kidogo mwili kuitumia kuliko glucose; glycogen inatakiwa itumike kutia nguvu mwili kama glucose iliyopo imekwisha mwilini. Lakini, Kama mtu ataendelea na kula kula kula chakula kuliko mahitaji ya mwili, mwili wake utaigeuza ile glycogen inayohifadhiwa kuwa mafuta (lipids). Hivyo mafuta yanayopatikana kwa kula ziada ya Ugali, ubwabwa, viazi, majimbi, ngano, mihogo, soda, artificial juices na vyakula vyote vya kutia mwili nguvu yanaungana mwilini na mafuta mengine unayoongeza kwenye chakula kama vile mafuta ya mbegu za mimea (nazi, kweme, ufuta, alizeti, mahindi, mawese, pamba, korie, nk) pamoja na mafuta uliyokula yenye asili ya wanyama (jibini, siagi, nyama zilizonona, senene, kumbikumbi, nk) kutengeneza tabaka kubwa la mafuta (adipose tissue) mwilini, hivyo kusababisha mwili kuwa na kiwango kikubwa cha mafuta kuliko mahitaji ya mafuta yanayohitajika kwa kazi za mwili.

Changamoto za kuwa tabaka kubwa la mafuta mwilini:
Mafuta haya mwili unayahifadhi kwenye vioungo na sehemu mbalimbali za mwili kama vile tumbuni (vitambi), matakoni (wowowo), mapajani, shingoni, mikononi, misuli na kwenye ngozi. Kama sehemu zote hizi zikijaa mwili utayatafutia mafuta yako sehemu nyingine za kuyahifadhi kama vile kwenye utumbo, moyo, ndani ya mishipa ya damu, via vya uzazi, mafigo, ini na kila sehemu yenye nafasi, haiyatupi maana mwili hautupi chakula.

Kusudi kubwa la mwili wako kugeuza chakula chako cha ziada ulichokula kuwa mafuta na kuyahifadhi ni ili mwili wako uweze kuyatumia mafuta hayo kutoa nishati ya kusukuma mwili KAMA mwili wako utakosa chakula kwa muda mrefu (starvation), hivyo mtu mwenye mafuta mengi mwilini anaweza kuishi hata siku 30 bila kula chakula bila kufa. Katika kipindi hicho mwili utayaunguza/unayafagia/unayapakua/unayatumia mafuta yote ili kupata chakula.

Hivyo, changamoto za kutunza mafuta hayo mwilini ni mapoja na:
1. Kuongezeka uzito kuliko uwezo wa misuli yako (mifupa, tendons, muscles) inavyoweza kubeba.
2. Kuminya mishipa ya damu na fahamu, hii inasababisha presha na ganzi kwenye mikuu, mikono au kwenye makalio.
3. Kupunguza kiwango cha maji mwilini, Mtu mwenye mafuta mengi (mnene) ana kiwango kidogo cha maji.
4. Kupunguza tundu (lumen) la mishipa ya damu na kusababisha kupata ugonjwa wa pressha (high blood pressure, kiharusi)
5. Kupunguza kiwango cha dawa kutibu magonjwa (lazima dose yako iwe kubwa kuliko kawaida)
6. Kupunguza uwezo wa kongosho (pancrease) kutoa insulin na insulin kushindwa kuchakata chakula unachokula na kusababisha kupata ugonjwa wa Kisukari (diabetes)
7. Kupunguza nguvu za kiume
8. Kupumua kwa shida na kukoroma sana usingizini
9. Kupata ugumba na utasa
10. Kutembea kwa shida na miguu kupata maumivu
11. Kinga ya mwili kushuka
12. Kuongeza uwezekano wa kupata kansa (cancer) ya matiti, utumbo, ngozi, mfumo wa uzazi na viungo vingine.
13. Siku mafuta yaliyoko ndani ya mishipa ya damu yakimeguka na kuzunguuka pamoja na damu ndani ya mishipa yanaweza kwenda kuziba mishipa midogo midogo mwilini na kusababisha kiharusi au moyo kusimama kutegemea bonge la mafuta limeenda kukwamia wapi na kwenye kiungo gani.

Faida za kufanga ni zipi?
Kufunga kula chakula ni muhimu sana kwa kila mtu, sio kwaajili ya kwenda mbinguni tu, lakini kwa
1. kuzuia na kuponya magonjwa yote hayo niliyoyasema hapo juu kwa mwili kuyafagia mafuta mwilini kwa kiasi kikubwa.
2. Ini, tumbo, utumbo, kongosho na nyongo (bile) ndivyo vinavyofanya kazi kubwa ya kuchakata chakula na mafuta, hivyo kufunga kula chakula kutasaidia viungo hivyo kurudisha afya yake (kupunzika na kupona majeraha na uchovu)
3. Mafuta yakipungua magonjwa yote hayo yatapotea ghafla bin vuu.
4. Kufunga kunaongeza uwezo wako wa kufikiri, kutafakari na kuzingatia (focus). Hii inasaidia kwenye kutatua shida na migogoro na mahusiano yako na watu wengine kwa kumaanisha.

Hivyo kufunga sio tu ni ibada lakini ni tiba kamili kwa viumbe, usisubiri mpaka Ramadhan na Kwaresma ndipo ufunge, unakosa mengi sana,

Namna ya kufunga:
Hakikisha kuwa unafunga kula chakula na vinywaji vyenye sukari, sio kama wengine wanavyosema kuwa wamefunga kusema uongo, sijui kuseng'enya na nini, Kufunga ni kuacha kula chakula kwa masaa 12. Unaweza kunywa maji tu kwa wanaofunga kwajili ya afya ya magonjwa haya.

1,Wakati wa kufungua jioni hakikisha kuwa huli vyakula viiiingi na vyenye mafuta mengi kama wengine wanavyofanya wakati wa kufungua. Kunywa maji mengi na matunda zaidi ukishafungua jioni na baada ya nusu saa ndio ule vyakula vingine vya kawaida.
2. Usile daku alfajiri ili kupunguza ukali wa njaa, hapo utakuwa umejidanganya mwenyewe, kula kama kawaida yako.
3. Anza kufungua kwa kula vitu vyepesi kama maji, matunda, juice isiyokuwa na sukari, au uji usiokuwa na sukari. Epuka soda na vitu vitamu sana kama halua.
4. Usichanganye nyama na carbohydrates kwenye mlo mmoja, usichanganye matunda na chakula pamoja, usichanganye maziwa na chakula kwenye mlo.
5. Fanya mazoezi, fanya kazi, usilale wakati umefunga ili kupata ubora wa kufunga.
6. Wakati umefunga jaribu tena kuTatua migogoro iliyokushinda huko nyuma utaona maajabu makubwa.

Hawa Wayahudi na Waarabu nina uhakika elimu hii ya kufunga kwa afya walikuwa nayo tangu siku nyingi ndio maana ukawa utamadini wao ukaingizwa kwenye dini, tuwapigie makofi mengi.

.Kama una swali niulize, nimejikita kwenye sayansi za afya sio kwenye dini ya huyu wala yule, samahani, msinipige mawe.
Hapa sio kufunga bana bali ni kubadilisha muda wa kula,badala ya kula mchana wengine hula usiku kucha, milo ni ileile, kwa hiyo hakuna faida wala kitu kipya wengine hawali usiku wakati wengine wanakula usiku,wengine hawali mchana wakati wengine wanakula mchana.
 
T
Kuwa na wanawake wengi ni changamoto kwa wanaume wa zamani, lakini walikuwa wanaweza kukabiliana nayo kwakuwa wao hawakulazimika kuwafikisha kileleni na walikuwa wanakwepa kuwafikisha kileleni ili wasizoee kufurahia tendo, walichohitaji ni wao tu kutoa mbegu ili mwanamke azae baaasi. Kutimiza azima yao hii ya wanawake kutowasumbua sana walikuwa hawapendi kuoa mwanamke ambae hajatahiriwa (women circumcision).

Umenena kweli kabisa.
Pia walioa wengi Ili kupata fahari ya kuwa na ukoo Mkubwa pia nguvu Kazi tele.Kabla mifumo ya ukisasa haijawaharibu.
 
Kuna Kwaresima na Ramadhan miezi ambayo waumini wa Kikristo na Kiislam wanafunga kama sehemu ya imani zao kwa lengo la kumpendeza Mungu wao ili awasamehe dhambi au awape kibali cha kuingia peponi. Kwenye upande huu wa dini sintakuongelea zaidi kwakuwa imani ya mtu ni package ambayo haiko wazi kujadiliwa wa kukosolewa na mtu mwingine. Hata hivyo ikumbukwe kuwa Ukristo na Uisilam ni dini ambazo chimbuko lao ni Asia ya Kati, watu ambao wana mazingira, tabia, vyakula, utamaduni na bila shaka na magonjwa yanayofanana. Kufunga ilikuwa ni njia yao ya kuzuia (primary prevention) na kutibu (secondary prevention) magonjwa fulani fulani kwenye jamii zao. Njia hii ya kufunga kuacha kula chakula haifanyi kazi ya kukinga na kutibu magonjwa kwa wayahudi na waarabu tu bali hata kwa viumbe vyote vya mwenyezimungu ili vipate maisha marefu na afya tele.

Kufunga kula chakula kunasaidiaje kukinga na kutibu magonjwa kwa binadamu?
1. Kwa kukausha/kuchoma/kutumia mafuta mabaya yaliyozidi mwilini: Miili yetu ina tabia ya kuhifadhi vyakula vya ziada tunavyokula ili mwili wako ivitumie vyakula hivyo siku utakapokosa chakula. Ugali, ubwabwa, viazi, majimbi, ngano, mihogo, soda, chai na vyakula vyote vya kutia mwili nguvu vinapoliwa kwa wingi kuliko mahitaji ya siku ya mwili huwa ziada inahifadhiwa ndani ya mwili kama sukari (glucose, fructose na galactose) kwa matumizi ya mwili ya sasa hivi na baadae kidogo kama masaa 4 kama utakuwa hujakula chakula kingine, lakini kama baada ya masaa 4 utaendelea kula chakula kingine na kupata glucose mpya mwili utageuza ile glucose/fructose/galactose ya kwanza kuwa glycogen, aina ya sukari ambayo ni ngumu kidogo mwili kuitumia kuliko glucose; glycogen inatakiwa itumike kutia nguvu mwili kama glucose iliyopo imekwisha mwilini. Lakini, Kama mtu ataendelea na kula kula kula chakula kuliko mahitaji ya mwili, mwili wake utaigeuza ile glycogen inayohifadhiwa kuwa mafuta (lipids). Hivyo mafuta yanayopatikana kwa kula ziada ya Ugali, ubwabwa, viazi, majimbi, ngano, mihogo, soda, artificial juices na vyakula vyote vya kutia mwili nguvu yanaungana mwilini na mafuta mengine unayoongeza kwenye chakula kama vile mafuta ya mbegu za mimea (nazi, kweme, ufuta, alizeti, mahindi, mawese, pamba, korie, nk) pamoja na mafuta uliyokula yenye asili ya wanyama (jibini, siagi, nyama zilizonona, senene, kumbikumbi, nk) kutengeneza tabaka kubwa la mafuta (adipose tissue) mwilini, hivyo kusababisha mwili kuwa na kiwango kikubwa cha mafuta kuliko mahitaji ya mafuta yanayohitajika kwa kazi za mwili.

Changamoto za kuwa tabaka kubwa la mafuta mwilini:
Mafuta haya mwili unayahifadhi kwenye vioungo na sehemu mbalimbali za mwili kama vile tumbuni (vitambi), matakoni (wowowo), mapajani, shingoni, mikononi, misuli na kwenye ngozi. Kama sehemu zote hizi zikijaa mwili utayatafutia mafuta yako sehemu nyingine za kuyahifadhi kama vile kwenye utumbo, moyo, ndani ya mishipa ya damu, via vya uzazi, mafigo, ini na kila sehemu yenye nafasi, haiyatupi maana mwili hautupi chakula.

Kusudi kubwa la mwili wako kugeuza chakula chako cha ziada ulichokula kuwa mafuta na kuyahifadhi ni ili mwili wako uweze kuyatumia mafuta hayo kutoa nishati ya kusukuma mwili KAMA mwili wako utakosa chakula kwa muda mrefu (starvation), hivyo mtu mwenye mafuta mengi mwilini anaweza kuishi hata siku 30 bila kula chakula bila kufa. Katika kipindi hicho mwili utayaunguza/unayafagia/unayapakua/unayatumia mafuta yote ili kupata chakula.

Hivyo, changamoto za kutunza mafuta hayo mwilini ni mapoja na:
1. Kuongezeka uzito kuliko uwezo wa misuli yako (mifupa, tendons, muscles) inavyoweza kubeba.
2. Kuminya mishipa ya damu na fahamu, hii inasababisha presha na ganzi kwenye mikuu, mikono au kwenye makalio.
3. Kupunguza kiwango cha maji mwilini, Mtu mwenye mafuta mengi (mnene) ana kiwango kidogo cha maji.
4. Kupunguza tundu (lumen) la mishipa ya damu na kusababisha kupata ugonjwa wa pressha (high blood pressure, kiharusi)
5. Kupunguza kiwango cha dawa kutibu magonjwa (lazima dose yako iwe kubwa kuliko kawaida)
6. Kupunguza uwezo wa kongosho (pancrease) kutoa insulin na insulin kushindwa kuchakata chakula unachokula na kusababisha kupata ugonjwa wa Kisukari (diabetes)
7. Kupunguza nguvu za kiume
8. Kupumua kwa shida na kukoroma sana usingizini
9. Kupata ugumba na utasa
10. Kutembea kwa shida na miguu kupata maumivu
11. Kinga ya mwili kushuka
12. Kuongeza uwezekano wa kupata kansa (cancer) ya matiti, utumbo, ngozi, mfumo wa uzazi na viungo vingine.
13. Siku mafuta yaliyoko ndani ya mishipa ya damu yakimeguka na kuzunguuka pamoja na damu ndani ya mishipa yanaweza kwenda kuziba mishipa midogo midogo mwilini na kusababisha kiharusi au moyo kusimama kutegemea bonge la mafuta limeenda kukwamia wapi na kwenye kiungo gani.

Faida za kufanga ni zipi?
Kufunga kula chakula ni muhimu sana kwa kila mtu, sio kwaajili ya kwenda mbinguni tu, lakini kwa
1. kuzuia na kuponya magonjwa yote hayo niliyoyasema hapo juu kwa mwili kuyafagia mafuta mwilini kwa kiasi kikubwa.
2. Ini, tumbo, utumbo, kongosho na nyongo (bile) ndivyo vinavyofanya kazi kubwa ya kuchakata chakula na mafuta, hivyo kufunga kula chakula kutasaidia viungo hivyo kurudisha afya yake (kupunzika na kupona majeraha na uchovu)
3. Mafuta yakipungua magonjwa yote hayo yatapotea ghafla bin vuu.
4. Kufunga kunaongeza uwezo wako wa kufikiri, kutafakari na kuzingatia (focus). Hii inasaidia kwenye kutatua shida na migogoro na mahusiano yako na watu wengine kwa kumaanisha.

Hivyo kufunga sio tu ni ibada lakini ni tiba kamili kwa viumbe, usisubiri mpaka Ramadhan na Kwaresma ndipo ufunge, unakosa mengi sana,

Namna ya kufunga:
Hakikisha kuwa unafunga kula chakula na vinywaji vyenye sukari, sio kama wengine wanavyosema kuwa wamefunga kusema uongo, sijui kuseng'enya na nini, Kufunga ni kuacha kula chakula kwa masaa 12. Unaweza kunywa maji tu kwa wanaofunga kwajili ya afya ya magonjwa haya.

1,Wakati wa kufungua jioni hakikisha kuwa huli vyakula viiiingi na vyenye mafuta mengi kama wengine wanavyofanya wakati wa kufungua. Kunywa maji mengi na matunda zaidi ukishafungua jioni na baada ya nusu saa ndio ule vyakula vingine vya kawaida.
2. Usile daku alfajiri ili kupunguza ukali wa njaa, hapo utakuwa umejidanganya mwenyewe, kula kama kawaida yako.
3. Anza kufungua kwa kula vitu vyepesi kama maji, matunda, juice isiyokuwa na sukari, au uji usiokuwa na sukari. Epuka soda na vitu vitamu sana kama halua.
4. Usichanganye nyama na carbohydrates kwenye mlo mmoja, usichanganye matunda na chakula pamoja, usichanganye maziwa na chakula kwenye mlo.
5. Fanya mazoezi, fanya kazi, usilale wakati umefunga ili kupata ubora wa kufunga.
6. Wakati umefunga jaribu tena kuTatua migogoro iliyokushinda huko nyuma utaona maajabu makubwa.

Hawa Wayahudi na Waarabu nina uhakika elimu hii ya kufunga kwa afya walikuwa nayo tangu siku nyingi ndio maana ukawa utamadini wao ukaingizwa kwenye dini, tuwapigie makofi mengi.

.Kama una swali niulize, nimejikita kwenye sayansi za afya sio kwenye dini ya huyu wala yule, samahani, msinipige mawe.
Asante,ila swali kwa nin juice au uji usio na sukari,tupe somo sukari inaleta uharibifu gani ukianza nayo? Najua sukari siyo nzr ikizidi ila fafanua Hapo kidogo
 
Kwaiyo sisi wanywa uji tuache? Maana kwenye unga wa uji tunamix hvyo vyote
Endelea kunywa uji wa aina moja ya nafaka, kama unakunywa mtama kunywa mtama leo, kama kesho unapenda ulezi kunywa ulezi kesho na kama kesho kutwa utapenda kunywa uji wa mchele kunywa mchele tu. Hii ni kwasabu, kila nafaka na kila aina ya chakula kinahitaji mazingira yake binafsi huko tumboni ili imeng'enywe na kufyonzwa mwilini. Mtama na mahindi kila kimoja kina maumbile tofuti mbele mimeng'enyo na mazingira ya tumboni. hivyo unapovichanganya pamoja kwenye mlo mmoja unakwenda kuutatizo mfumo wa usagaji wa chakula. Hivyohivyo, kama ukichanganya nyama na nafaka kwenye mlo mmoja utasababisha shida kubwa sana kwenye umeng'enyaji wa nyama na nafaka kwa wakati mmoja, maana nyama na nafaka vinahitaji mazingira na mimeng'enyo tofauti.

UKivichanganya yafuatayo yanaweza yakatokea:
1. chakula kushindwa kusangwa kwa ufasaha tumboni, hii itasababisha
2. chakula kuchelewa sana tumboni bila kusangwa, hii itasababisha
3. Chakula kuoza (ferment) na kuzalisha gesi nyingi tumboni (mashuzi), hii itasababisha
4. chakula kuchelewa kufika kwenye utumbo mdogo kwaajili ya kuendelea kusagwa na kufyonzwa mwilini, hii itasababisha
5. Chakula kuchelewa kufika kwenye utumbo mpana kama makapi na uvyonzwaji wa maji na chumvichuvi kurudi mwilini, hii itasababisha
6. Chakula kukaa sana kwenye mfumo wa chakula, hii inasababisha
7. maji mengi kwenye makapi ya chakula kilichooza sana na harufu kali na sumu kunyonywa kwenda mwilini, hii inasababisha
8. Mtu kuchelewa kupata haja kubwa na haja kubwa kuwa kavu sana (constipation), hii husababisha
9. Mtu kupata magonjwa kama constipation, cancer ya utumbo, bawasili na mzio (allergies )
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom