Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,839
Hebu taja bitozi yeyote au sista du yeyote, awe mwana muziki au mcheza sinema za kibongo,
kwa nini hawabandiki mitandao ya kijamii picha za nyumbani kwao ili tuone maisha yao halisi ikiwa ni pammoja na wazazi wao na ndugu zao wa karibu?
kila siku naona wanabandika mapicha waliyopigwa kwenye majengo na mahoteli ya hali ya juu.
kwa nini hawabandiki mitandao ya kijamii picha za nyumbani kwao ili tuone maisha yao halisi ikiwa ni pammoja na wazazi wao na ndugu zao wa karibu?
kila siku naona wanabandika mapicha waliyopigwa kwenye majengo na mahoteli ya hali ya juu.