mwenzenu mi naona aibu

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,871
155,839
Hebu taja bitozi yeyote au sista du yeyote, awe mwana muziki au mcheza sinema za kibongo,
kwa nini hawabandiki mitandao ya kijamii picha za nyumbani kwao ili tuone maisha yao halisi ikiwa ni pammoja na wazazi wao na ndugu zao wa karibu?
kila siku naona wanabandika mapicha waliyopigwa kwenye majengo na mahoteli ya hali ya juu.
 
Mtu anaweka hadharani kitu kinachompa furaha,na kama hizo picha za home au familia hazimi raha mwache apotezee....after all siku hizi watu wanaangalia SWAGA tu
 
Hebu taja bitozi yeyote au sista du yeyote, awe mwana muziki au mcheza sinema za kibongo,
kwa nini hawabandiki mitandao ya kijamii picha za nyumbani kwao ili tuone maisha yao halisi ikiwa ni pammoja na wazazi wao na ndugu zao wa karibu?
kila siku naona wanabandika mapicha waliyopigwa kwenye majengo na mahoteli ya hali ya juu.

ndo maana nampenda Alwatan 20 Paa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom