Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

tuleteeni na gar la riz1 hapa na picha za magar na mijumba ya mafithad vigogo hapa 2one , nan kamzid mwenzie? Cdm vs. Thihiem
 
tuleteeni na gar la riz1 hapa na picha za magar na mijumba ya mafithad vigogo hapa 2one , nan kamzid mwenzie? Cdm vs. Thihiem
Tafadhali mkuu, tumia akili kidogo basi.

Kulinganisha hivyo nisawa na kusema "Nani fisadi zaidi", wakati issue ni kwamba hatuhitaji ufisadi kabisa.

Kama ufisadi ungekuwa mchezo wa riadha, basi huwezi kusema eti "Huyu anakimbia zaidi", wakati issue ni kwamba hauhitaji kushiriki mchezo huo wa "Riadha"

Kama nchi yetu ni masikini, ni lazima viongozi wareflect hilo, sisi tunaenda kichwakichwa tu.

Kwenye issue hii, kuna hoja mbili kuu hapa...

Kwanza, watu wanazungumzia zaidi bei za magari hayo bila kuzungumzia gharama za maintenence kama vile wese nk.

Lakini hoja ya pili, ni kwamba magari hayo ni more efficient kuwafikia wananchi wengi ambao kwa Tanzania wengi wako in "rural areas", however on the other hand, hilo linatatiza kwasababu magari hao yako associated na "luxury", na gharama kubwa kuya maintain, so viongozi wanaotaka kuwakomboa wananchi, wangeangalia yenye kuweza kufika rural areas kwa gharama ndogo zaidi, na pesa hiyo itakayo kuwa "saved" from matumizi makubwa, iokoe wananchi masikini kwa njia kama kuwapatia dawa zile hospitali zisizo na dawa, kujenga ama kukarabati barabara mbovu, kuwapatia wananchi maji safi, umeme, ama kuwekeza watu wapate kazi nk,ili uchumi nao usonge mbele. Kwa kifupi,ni magari ya kazi yenye kulingana na uwezo wa watanzania.

Kwani mtu kama akiingia madarakani na akawa na uwezo kama ilivyo kwa Mh Mbowe, basi ina maana ataigawia serikali pesa zake?

Starehe ambazo viongozi wetu wa juu tayari wanazo, hata mwanasiasa tajiri akiingia madrakani, bado ni starehe ambazo yeye ataona ni halali yake, kama aliendesha benz kabla hajawa rais, basi usitegemee ataendesha escudo ama vitara akishapata urais.

Lakini hata ambaye si tajiri akiingia madrakani, atataka na yeye aishi maisha kama ya tajiri mkubwa kuliko wote Tanzania, na pengine kushindana na wafanyabishara matajiri nk.Wengine hata wanalipiza na visasi.

Hilo ni kutokana na mentality kwamba kwenye siasa ndo kwenye dili, "everybodody goes in for themselves"

Utumishi wowote, huendana na pale unapopatumikia, so mtumishi wa serikali ya nchi masikini, ni lazima aendane na wale anaowatumikia na serikali ireflect hayo.

Hata ubepari tunaouvamia, mtumishi hawezi kuishi na kulipwa zaidi ya assets zinavyoreflect...Sisi ni kuomba kila siku lakini angalia kufuru ya viongozi.

Bado tuna kazi sana.
 

Ngongo:

Hii misemo ya Kiswahili:
Kipenda roho hula Nyama mbichi. na
Ukipenda Chongo utaiita Kengeza.
Kwavile jamaa wameipenda CDM basi isijadiliwe wala Isikosolewe!
Hata pesa kama zatokana na Wanachama kuna kila sababu zitumike vizuri, hasa ukizingatia Umaskini na Udhaifu wa Wachangiaji wenyewe.
Ni juzi tu CDM walidai wafuasi wao hawana nauli za daladala. Na kuwataka waunde Maandamano toka watokako kwenda Jangwani.
Kwa hiyo mfano tunaouona hauna tofauti na Ufahari unaopigiwa kelele wa CCM na Serekali yake. Hata Bw Yesu alifundisha kwa Mifano na tena akasema "Utaujua mti kwa Matunda yake"
Kwa hiyo anachotahadharisha Willim ni kuwa " samaki akunjwe angali Mbichi" au Kuna hatari ya kjikuta mmetoa Chui mdogo shimoni na kuingiza Mkubwa!

- SALUTE MKUU!

William.
 
- SALUTE MKUU!

William.
Haya ndiyo unayoyapenda wewe kama kule Facebook, kusifiwa tu na kuungwa mkono hata kwa upuuzi!! ili kazi yako wewe iwe ni kusema tu pamoja sana, tuko one page na blah blah za kila aina, lakini hoja makini na ngumu unazikimbia.

Kuna picha ya Baba wa Taifa hapo Juu mwaka 1961 yuko ndani ya Roys Roys mbona usemi alipaswa awe ndani ya Bajaj? jitu kubwa zima lakini hovyoo kabisa.
 
Haya ndiyo unayoyapenda wewe kama kule Facebook, kusifiwa tu na kuungwa mkono hata kwa upuuzi!! ili kazi yako wewe iwe ni kusema tu pamoja sana, tuko one page na blah blah za kila aina, lakini hoja makini na ngumu unazikimbia.

Kuna picha ya Baba wa Taifa hapo Juu mwaka 1961 yuko ndani ya Roys Roys mbona usemi alipaswa awe ndani ya Bajaj? jitu kubwa zima lakini hovyoo kabisa.
Mkuu Matola, heshma mbele.

Mimi nina msimamo wangu na bado upo pale pale.

Viongozi wetu kama walirithi katiba ya mkoloni kututawala wewe ulifikiri vipi?Si ni ngozi tu ilibadilika pale juu?

Ma "Roys Royce" kama ilivyokuwa kwa katiba, viliritihiwa na viongozi wetu, nadhani baadaye mwalimu (ninapompa credit), ni baada ya kutaka kuondokana na ubepari ambao tunaaanza kuukumbatia bila kutumia akili.(Through Azimio la Arusha nk)

Wenzetu wachina wako mbali si kwasababu hawaigi, bali wanaiga na ku modify, hawamezi nzima nzima bila kutafuna.

Enzi za mwalimu, cold war ilikuwa nje nje, na sera zinazo reflect usoshalisti zinaweza kukuingiza matatani vs nchi za kibepari ambazo ndizo zilikuwa zinatupa huo "uhuru", na hata unaweza kuuwawa na puppets wakwekwa madarakani, ie Nkrumah na Lumumba...Zilikuwa siasa ngumu sana enzi hizo, lakini kama ni kweli tunataka kuwakomboa wananchi, this isnt the way to go.

Viongozi wengi wa kisiasa ni ma opportunists, kama wananchi ni "vipofu", wao (viongozi), hawawashiki mkono.
 
Kama nyumbani kwangu nina uwezo wa kula nyama, niache kula nyama na kula senene kwa sababu jirani yangu hana uwezo wa kula nyama. Sorry watani wangu wa BKB, nimeweka senene as mfano but najua kwenye protein twaweza kutoka ngoma droo. Mbowe ana uwezo wa kununua hayo magari kwa pesa yake mwenyewe na si ya walipa kodi.
 
Viongozi wa Chadema wengi wanapenda sana maisha ya kifahari juzi nimekutana na msafara wao Kinondoni magari ya kifahari utadhani wasanii wa Marekani. Mwenye gari la bei rahisi milioni 50..pembeni yangu walikuwaepo wazee wawili wakawa wanaulizana hivi kweli hawa ndio wanaotegemea kuwapa maisha bora Watanzania wakishika dola si ndio itakuwa balaa, nilipowasogelea wale wazee wakakaa kimya.
 
Kama nyumbani kwangu nina uwezo wa kula nyama, niache kula nyama na kula senene kwa sababu jirani yangu hana uwezo wa kula nyama. Sorry watani wangu wa BKB, nimeweka senene as mfano but najua kwenye protein twaweza kutoka ngoma droo. Mbowe ana uwezo wa kununua hayo magari kwa pesa yake mwenyewe na si ya walipa kodi.

Sidhani kama uongozi wa nchi ni sawa na kampuni binafsi ama familia,ukweli ni kwamba taifa la wananchi masikini,lazima viongozi wareflect hilo.Ndo maana ninaamini uongozi wa umma una miiko yake,na bila kuifuata hatuendi popote.Mwananchi kama ndo anamlipa kiongozi,basi ukweli wananchi wengi hawana uwezo wa starehe,kuishi tofauti na jinsi uchumi wa nchi ulivyo ni unafiki, wizi na usaliti kwa wananchi masikini ambao ndo wengi bongo.
 
Sidhani kama uongozi wa nchi ni sawa na kampuni binafsi ama familia,ukweli ni kwamba taifa la wananchi masikini,lazima viongozi wareflect hilo.Ndo maana ninaamini uongozi wa umma una miiko yake,na bila kuifuata hatuendi popote.Mwananchi kama ndo anamlipa kiongozi,basi ukweli wananchi wengi hawana uwezo wa starehe,kuishi tofauti na jinsi uchumi wa nchi ulivyo ni unafiki, wizi na usaliti kwa wananchi masikini ambao ndo wengi bongo.

hivi wazalendo wa nchi hii bila kujali itikadi zao wanakuelewa kweli?? I doubt
 
- Unajua kuna wakati huwa ninafikiri nilikuonea kuku-delete kule FB, lakini kila ukiandika pumba zako hapa ninapata faraja sana kwamba sikukosea, kwamba huwa unedna kwenye blogu yangu ni maajbu sana kwa mtu ambaye kila wakati unadai sina uwezo mkuwa wa kufikiri! ha! ha! ha! ha!

- Akili yan gu ipo sawa sawa ndio maana niliamua kuondokana na utumwa wa hirai huko Ughaibuni na kuja nyumbani kujumuika na wananchi wenzangu kujenga taifa letu, badala ya kukaa huko na kulia lia kila siku, aliyechanganyikiwa ni yule anyedai mwingine amechanganyikiwa na bado anaenda kwenye blogu ya aliyechanganyikiwa na yeye ni mzima! ha! ha! ha! yale yale ya mwizi kuamini wengine wote ni wezi kama yeye! ha! ha! ha!

- The New Super blogu, nitakwambia siri behind the scene wanao ongoza kwa kuingia kule ni watu kutoka hapa JF, wakifuatiwa na Facebook, sasa tuna average 4100 peoples a day bado hatujaisha ni siku 10 mtupo hewani, so tupo vizuri na wananchi wanatupa feedback ahhhhhhh they love it, tunachanganya kila kitu, siasa, udaku, warembo, mamen, you name it utapata kule, Otheriwse pole sana naona leo nimewashika pazuri sana mkono kwenye kunde na kwenye nyama, ukombozi mnataka na VX8 mnataka, ha! ha! haviendi pamoja!

- Ngoja nikupe darasa kuhusu commonsense, ukiona mtu amevua nguo huvui nguo na kumkimbiza kama unavyofanya hapa unaachana naye, wengi hapa mmelia sana kwamba sina uwezo wa kufikiri! ha! ha! ha! page karibu 10 sasa kwa ajili ya thread iliyoanzishwa na mtu asiye na uwezo mkubwa wa kufikiri? ha! ha! ha! ha! ha!

- Hivi unajua baada ya Jangwani ilifanyika sherehe kubwa sana nyumbani kwa Mwenyekiti? Ulialikwa? Alilipia nani ile sherehe kubwa vile? Sherehe ya nini hasa kufurahia kuja kujionyesha na ma-VX8? Wewe amuka wewe!


William.

Mara nyingi huwa najiuliza ni sahihi mchezaji aliye uwanjani ni sahihi kumlaumu mchezaji aliye benchi kwa timu kufungwa ?Bahati mbaya sipati jibu
 
Kadri ninavyokumbuka Mbowe alirudisha gari la serikali alilopewa kama kiongozi (KUB), hivyo sitarajii hili vx kuwa ni mali ya chama chenu (CDM), maana tunamwona Mbowe aki-ride mashine tofauti tofauti huku mtaani.

Kabla ya kuhitimisha ni vema mtoa mada atuletee taarifa za umuliki wa haya magari na gharama za uendeshaji zinalipwa na nani.

Nje ya hapo tutakuwa tunapiga porojo tu........

RM
 
William,
Naona unasumbuliwa na wivu binafsi. Kama Mbowe alifanya sherehe nyumbani kwake baada ya mkutano wa Jangwani wewe
linakuhusu nini? Yaani unataka kutuaminisha kuwa Mbowe hawezi kugharimia private party nyumbani kwake mpaka ichangiwe na mtu? Basi naona una mengi ya kujifunza bado.
 
ki.
Margaret__BourkeWhite__Portrait_of_Mahatma_Ghandi.jpg


Mwenyekiti wa Chama cha kuwakomboa wananchi, anapotumia magari kama ya watawala, inasema nini kuhusu huu ukombozi? VX8, tena sio moja, Wasaidizi, Dreva, MABENDERA, KUCHELEWA KUFIKA UWANJANI, bado hajashika nchi, je akishika tutegemee nini tofauti, maana haya si ndio ya kawaida kwa watawala? Kwenye kuvaa kombati sawa lakini mengine hayo mbona sawa na watawala?

- NAOMBA KUTOA HOJA, MAANA WAKOMBOZI KINA CASTRO, CHE GUEVARA, MAO, NA SAVIMBI HATUKUWAONA NA MA-VX8, AU WASAIDIZI AU NI UKOMBOZI TOFAUTI?

- KUONGOZA SI NI MFANO ZAIDI? MUNGU AIBARIKI TANZANIA!


William.

Mzee uko dunia ya ngapi?
Unataka ukomunist wa Castro? au vita kama vya Savimbi?
Siasa za kina Castro na Mao nani anazitaka?
Kama hizo ndizo umerithi, pole sana. Ingia darasani tena!
Tunachotaka ni haki na usawa.
Tunataka uwajibikaji!
Kila mtu mwenye uwezo wa kuwa na VX kwa jasho lake awe nalo, sio kupitia uongozi wa kupeana!
 
William,
Naona unasumbuliwa na wivu binafsi. Kama Mbowe alifanya sherehe nyumbani kwake baada ya mkutano wa Jangwani wewe
linakuhusu nini? Yaani unataka kutuaminisha kuwa Mbowe hawezi kugharimia private party nyumbani kwake mpaka ichangiwe na mtu? Basi naona una mengi ya kujifunza bado.

- Jasusi sidhani kama una wivu na tawi la CCM DC, ha1 ha! ha! kwenye ishus kama hizi ungekwua una-declare conflict of interest na kukaa pembeni maana huwezi sema tofauti na uliyosema hapa! ha! ha! ha! nipo huku Mbezi Beach kwa mshikaji wako sana wa kwenu kule majita! anakusamilia sana, nipo naye hapa!

William.
 
Mzee uko dunia ya ngapi?
Unataka ukomunist wa Castro? au vita kama vya Savimbi?
Siasa za kina Castro na Mao nani anazitaka?
Kama hizo ndizo umerithi, pole sana. Ingia darasani tena!
Tunachotaka ni haki na usawa.
Tunataka uwajibikaji!
Kila mtu mwenye uwezo wa kuwa na VX kwa jasho lake awe nalo, sio kupitia uongozi wa kupeana!

- Naona mkuuu umerukia treni kwa mbele, wote ni wakombozi FULL STOP!!

William.
 
hivi wazalendo wa nchi hii bila kujali itikadi zao wanakuelewa kweli?? I doubt
Same here, as in "doubtfulness"

Ndo maana niligusia ile "ganzi" ambayo inaweza kutafsiriwa kama "upofu" ama " a dont care attitude"

Nimegunduwa kazi watanzania bado tunayo kubwa sana.

On the other hand, inawezekana kabisa kuwa wanayofanya chadema ndo yanayowapatia wanachama, hilo maybe ni kutokana na mentality ya wananchi wengi, kwamba uanasiasa unaelekea kuwa same as "power and money" badala ya kuwatumikia wananchi masikini.

Lazima tubadili mentality ya watanzania ya namna wanavyouchukulia uanasiasa/uongozi wa umma, kuwa "uongozi wa umma ni kitu gani"?

Labda wananchi wamshachukulia kuwa uongozi ni ufahari na starehe na ufisadi.

Mambo kama hayo hayawezi kuhusishwa na uongozi halafu ikatokea wakapatikana viongozi wa wananchi, wenzetu wa west wana uwezo wa kucover hizo weaknesses kwasababu ya historia ya mataifa yao ambayo wametawala mataifa mengine nk.

Tutafakari tusikurupuke, kukomboa nchi ni kazi ngumu.
 
"Viongozi wa Chadema wengi wanapenda sana maisha ya kifahari juzi nimekutana na msafara wao Kinondoni magari ya kifahari utadhani wasanii wa Marekani. Mwenye gari la bei rahisi milioni 50..pembeni yangu walikuwaepo wazee wawili wakawa wanaulizana hivi kweli hawa ndio wanaotegemea kuwapa maisha bora Watanzania wakishika dola si ndio itakuwa balaa, nilipowasogelea wale wazee wakakaa kimya"
By ritz

Wakati mwenyekiti anatumia hii
401706_390840007625030_100000971026600_1045118_779788496_n.jpg


Katibu mwenezi wa watawala anatumia hii hapa
1Nape+na+ujumbe+wake+wakiwasili+Uwanja+wa+ndege+wa+Bukoba.jpg
 
Viongozi wa Chadema wengi wanapenda sana maisha ya kifahari juzi nimekutana na msafara wao Kinondoni magari ya kifahari utadhani wasanii wa Marekani. Mwenye gari la bei rahisi milioni 50..pembeni yangu walikuwaepo wazee wawili wakawa wanaulizana hivi kweli hawa ndio wanaotegemea kuwapa maisha bora Watanzania wakishika dola si ndio itakuwa balaa, nilipowasogelea wale wazee wakakaa kimya.

Tafadhali mkuu, tumia akili kidogo basi.

Kulinganisha hivyo nisawa na kusema "Nani fisadi zaidi", wakati issue ni kwamba hatuhitaji ufisadi kabisa.

Kama ufisadi ungekuwa mchezo wa riadha, basi huwezi kusema eti "Huyu anakimbia zaidi", wakati issue ni kwamba hauhitaji kushiriki mchezo huo wa "Riadha"

Kama nchi yetu ni masikini, ni lazima viongozi wareflect hilo, sisi tunaenda kichwakichwa tu.

Kwenye issue hii, kuna hoja mbili kuu hapa...

Kwanza, watu wanazungumzia zaidi bei za magari hayo bila kuzungumzia gharama za maintenence kama vile wese nk.

Lakini hoja ya pili, ni kwamba magari hayo ni more efficient kuwafikia wananchi wengi ambao kwa Tanzania wengi wako in "rural areas", however on the other hand, hilo linatatiza kwasababu magari hao yako associated na "luxury", na gharama kubwa kuya maintain, so viongozi wanaotaka kuwakomboa wananchi, wangeangalia yenye kuweza kufika rural areas kwa gharama ndogo zaidi, na pesa hiyo itakayo kuwa "saved" from matumizi makubwa, iokoe wananchi masikini kwa njia kama kuwapatia dawa zile hospitali zisizo na dawa, kujenga ama kukarabati barabara mbovu, kuwapatia wananchi maji safi, umeme, ama kuwekeza watu wapate kazi nk,ili uchumi nao usonge mbele. Kwa kifupi,ni magari ya kazi yenye kulingana na uwezo wa watanzania.

Kwani mtu kama akiingia madarakani na akawa na uwezo kama ilivyo kwa Mh Mbowe, basi ina maana ataigawia serikali pesa zake?

Starehe ambazo viongozi wetu wa juu tayari wanazo, hata mwanasiasa tajiri akiingia madrakani, bado ni starehe ambazo yeye ataona ni halali yake, kama aliendesha benz kabla hajawa rais, basi usitegemee ataendesha escudo ama vitara akishapata urais.

Lakini hata ambaye si tajiri akiingia madrakani, atataka na yeye aishi maisha kama ya tajiri mkubwa kuliko wote Tanzania, na pengine kushindana na wafanyabishara matajiri nk.Wengine hata wanalipiza na visasi.

Hilo ni kutokana na mentality kwamba kwenye siasa ndo kwenye dili, "everybodody goes in for themselves"

Utumishi wowote, huendana na pale unapopatumikia, so mtumishi wa serikali ya nchi masikini, ni lazima aendane na wale anaowatumikia na serikali ireflect hayo.

Hata ubepari tunaouvamia, mtumishi hawezi kuishi na kulipwa zaidi ya assets zinavyoreflect...Sisi ni kuomba kila siku lakini angalia kufuru ya viongozi.

Bado tuna kazi sana.
Hapo kwenye red umenifumbua macho!
Ndiyo maana Presda wetu anatembea nje sana alizoea mambo ya nje, Duh!
Asante1
 
Heshima kwenu wanajamvi,

Mkuu W J M kauliza swali zuri sana bahati mbaya hapewi majibu ana ambulia kejeli na viroja.Wanajamvi wenzangu tuitendee haki JF kama huna uwezo wa kujibu hoja kaa pembeni magauzi ya kweli yatafanikiwa ikiwa tutakubali kukosolewa na kujisahihisha.

CDM leo ni chama cha upinzani kesho kinaweza kuwa chama tawala mambo yanayotendwa na viongozi wake leo yanatoa mwanga wakipewa dola watatutendea nini !.

Tunapinga kwa nguvu zetu zetu serekali ya CCM iachane na matumizi ya magari ya kifahari bahati mbaya mbadala wa CCM naye anatumia magari ya kifahari ?.

Gari ya kifahari maan yake nini? Naona ni sentesi tata inayohitaji umakini kuelewa. Kule kwetu Kantalamba VIRTZ ni gari ya kifahari, Nadhani kinachopiganiwa siyo watru kuwa na magari ya kifahari, ila ni serikali kuwa makini kwenye matumizi kwa kutotumia fedha za walipa kodi-bajeti yake kununulia magari ya bei kubwa kama..... Jitahidi kuelewa.
 
Kaka willy nakusihi umuulize mzee wangu hapo dkt. Cigweyimis john malecela nini kilitokea university of east africa/udsm sasa mwaka 1966? Mwalimu alilazimika kuchukua maamuzi magumu juu ya maisha ya watumishi wa dola. Nakuomba uende pale kimara temboni kafanye interview na mzee luka mkoka ambaye ndie alikuwa rais wa serikali ya wanafunzi. Wanafunzi walimwita mwalimu na serikali yake yote ni wanyonyaji pale ikulu mwaka huo........!!!! Alikiri na kuamua kujipunguzia mshahara wake na cabinet yote.... Huyu mzee atakupa sura pana ya nchi na harakati za ukombozi. Nitakupa simu zake privately. Magari haya yalikuwapo hata wakati wanagombea uhuru , unajua rupia, dossa,sykes na wengine walitumia magari kama hayo ya kifahari kwani yalikuwa yao mkuu
 
Back
Top Bottom