Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,211
- 42,074
Tangia siku ile Dr. Slaa alijikopesha mamilioni kutoka chadema, ni utaratibu upi uliofuatwa? Chama kina utaratibu wa kukopeshana?
kwakweli ilinishangaza kama hii ya kuongeza posho inavyonistaajabisha.
Hapo ndio unaweza ukawa shangaa vijana wa bavicha hivi kweli Dr slaa kwanini hakurudisha mkopo kwa riba?
Hivi chadema ni chama cha siasa au ni saccos au tawi la Pride Tanzania?
Kuna vijana wengi wa chadema nao wana sifa za kukopwshwa kama Dr slaa lakini ukiwambia wanafungua diary ya matusi.
Cha kushangaza zaidi hawa chadema kila anaye toa tuhuma wana muita muongo au msaliti lakini kila leo watu wanasema hoja zile zile na bado wana tuhaminisha kuwa hao watu ni waongo.
Hivi chama hakina pesa za kujenga ofisi kakini za kumkooesha Dr zipo,wakiambiwa wana ng'aka.
Nadhani Godbless J Lema anaona matunda aliyopanda sasa chama kina sambaratika na sijui atambebea mbereko gani mzee Mtei?
Last edited by a moderator: