johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,436
- 144,893
Mwenyekiti wa CCM ambaye ni Rais wa JMT mh Samia leo ameongoza kikao cha kamati kuu ya chama hicho Chamwino nje kidogo ya jiji la Dodoma.
Je, askofu Gwajima na Komredi Polepole na yule wakili msomi Jerry Slaa wamepona?
Tusubiri taarifa rasmi ya mwenezi komredi Shaka.
Je, askofu Gwajima na Komredi Polepole na yule wakili msomi Jerry Slaa wamepona?
Tusubiri taarifa rasmi ya mwenezi komredi Shaka.