Nilifanya usaili na hawa jamaa wanaojiita erolink,baada ya kumaliza taratibu zote wananiambia kwamba wao ero link ndio watakao niajiri,halafu duty station yangu itakua kwenye hiyo kampuni husika ndio wanatafutiwa mtu.
Tafadhali mwenye kujua utaratibu wa hawa watu je unafit?hawazungushi ikifika mda wa kulipa mshahara?nakuusu increament imekaaje?details please.
Tafadhali mwenye kujua utaratibu wa hawa watu je unafit?hawazungushi ikifika mda wa kulipa mshahara?nakuusu increament imekaaje?details please.