maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,210
- 1,600
Kama hujui hayo mambo acha wataalamu waongee.... Kinachokufa ni mwili, nafsi nyingine zipo na unaweza kufanya mawasilianoKabsa bro upo sahih, maan mtu akifa amekata mawasilian kabs ya dunian , so uyo ataend kuongea na majini tu, alaf baadae yatakua yanamsumbua mara yatamuamrisha fany ivi na vile nayeye atafany maan atajua mama ake nd amemuagiza