Mwenye ujanja wa drivers za dell latitude e5530 pliz, help!

Jimmy2012

Member
May 18, 2012
28
3
Habari wadau! Ninatumia Laptop ya Dell Latitude E5530, 32Bit OS 4GB RAM.
Wakati fulani ilikuwa na tatizo nikaamua kui-format Window yote na kuweka Window 7 Proff. Shida niliyonayo sasa baada ya ku-format ni kwamba laptop inashindwa ku-install baadhi ya programs na applications nyingine zinashindwa kufanya kazi vizuri na inalea ujumbe kuwa kuna drivers zina-miss. Device Manager inaonesha laptop haina drivers zifuatazo; BC 20702A0, Network Controller, PCI Simpe Communication Controller, SM Bus Controller, USB Controller & Unknown Device.
Nimejitahidi kutafuta googe sijafanikiwa, napata majibu mengi sana hadi sielewi. Aidha, nimeingia kwenye web ya Dell (support) lakini nao mlolongo mrefu na mwishowe wanataka nilipie online ili kupata drivers. Kama kuna mwanaJF mwenye kujua njia rahisi ya kupata drivers hizo, naomba sana anisaidie. Thanx in advance.
 
Hebu jaribu na hii uone kama itakusaidia
Right click kwenye computer icon na click kwenye "manage" itakuletea pannel ya "computer management"
Click kwenye "device manager" itakuletea device na driver zilizo miss
Kwa kila device driver iliyomiss "right click" utaona sehemu mojawapo imeandikwa "update driver software" click na uchague "search automatically for updated driver software"
HAKIKISHA UPO KWENYE INTERNET YA UHAKIKA SIO MWENDO WA KONOKONO
 
Hebu jaribu na hii uone kama itakusaidia
Right click kwenye computer icon na click kwenye "manage" itakuletea pannel ya "computer management"
Click kwenye "device manager" itakuletea device na driver zilizo miss
Kwa kila device driver iliyomiss "right click" utaona sehemu mojawapo imeandikwa "update driver software" click na uchague "search automatically for updated driver software"
HAKIKISHA UPO KWENYE INTERNET YA UHAKIKA SIO MWENDO WA KONOKONO


Asante Sana @ Waheed kwa ushauri wako ingawa njia nilishafanya ila sikufanikiwa, inanipa jibu kuwa no drivers found. Internet speed yangu ni ya wastani unless kama pia unaweza kunishauri ISP gani nitumie kwa speed nzuri zaidi lakini issue inabaki kuwa hiyo spidi ndogo au ya wastani ingenifanya nifakiwe kwa kuchelewa lakini hata sijafakiwa kabisa. ?????
 
Mkuu kwa isp wa uhakika sina uhakika na mitandao yetu, mimi nina line tatu yaani voda, tigo na airtel na zote hizi speed yake huwa inatofautiana kulingana na sehemu nitakapokuwa, labda ungejaribu kuulizia kama upo karibu na wadau wengine katika eneo ulipo
 
Download software inaitwa driver booster ,iko very light ..ni free au itafte kwenye torrents .. hii ni noma hata driver genius haifati
 
Download software inaitwa driver booster ,iko very light ..ni free au itafte kwenye torrents .. hii ni noma hata driver genius haifati

Asante! island. Naitafuta then ntakupa mrejesho
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom