Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,759
- 5,289
- Thread starter
- #21
Hamia airtel....
mbona nasikia wenzangu wanahama huko! Au?
Hamia airtel....
Kumbe mungu anatumia VODA?!!!
ingiza hizo namba ya elfu tano hiyo 29853894206485
Hii nina hakika imepata majaribio ya kutosha tofauti na mlengwa.
Hiii Tabia sasa watajifunza wengi kuwa Matonya wa Social Network.
wadau!jezi yangu ya liverpool imeungua moto bahati mbaya jana!nichangieni hela ninunue mpya!
wadau!jezi yangu ya liverpool imeungua moto bahati mbaya jana!nichangieni hela ninunue mpya!
bei gani!
huuu uchokozi wa kweli... lol.
mmmm jamani sasa hivi maisha magumu sana chabwetechabwete chaenda namukoloni
Kumbe mungu anatumia VODA?!!!