dimaa
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 4,020
- 5,439
Kwenu wakuu.
Nimtangazaji aliyekuwa na sauti laini na nyororo, aliwahi fanya kazi Sahara Media na baadaye naskia alihamia Azam Media.
Nilikuwa nafatalia sana kipindi chake cha search line pale Radio Free Africa, miaka ya 2000's.
Mwenye hata picha tu atusaidie, tumuone ambao hatujawahi kumuona.
Nimtangazaji aliyekuwa na sauti laini na nyororo, aliwahi fanya kazi Sahara Media na baadaye naskia alihamia Azam Media.
Nilikuwa nafatalia sana kipindi chake cha search line pale Radio Free Africa, miaka ya 2000's.
Mwenye hata picha tu atusaidie, tumuone ambao hatujawahi kumuona.