Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,320
Nilipokuwa primary niliusikia nikaupenda sana lakini sikufanikiwa kujua beti zake...
Unaanza hivi
Sasa tunawahesabu, sasa tunawahesabu
Waliokufa kwa tabu
Bila hata matibabu,
wengi hawana hesabu, duniani...
Naomba kwa mdau anayeufahamu aniendelezee...
Unaanza hivi
Sasa tunawahesabu, sasa tunawahesabu
Waliokufa kwa tabu
Bila hata matibabu,
wengi hawana hesabu, duniani...
Naomba kwa mdau anayeufahamu aniendelezee...