kibangubangu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2018
- 212
- 285
Naomba kujua hospitali nzuri yenye kutibu magonjwa ya kansa ya matiti(breasts cancer) Kwa Dar es salaam.
Pia Wawe na mashine Aina ya RADIOTHERAPIE ONCOLOGIE
Nimeiambatanisha katika picha.
Pia Wawe na mashine Aina ya RADIOTHERAPIE ONCOLOGIE
Nimeiambatanisha katika picha.