mpingomkavu
Member
- Nov 26, 2010
- 94
- 0
:yuck:Wadau wa JF naombeni muweke cv ya huyu mzee hapa tuijadili kwani anayoyafanya yamekuwa ni kituko sasa sijui tunaijenga jamii gani ya kitanzania:angry::angry:
Itakusaidia nini wewe? Wacha ujuha!:yuck:Wadau wa JF naombeni muweke cv ya huyu mzee hapa tuijadili kwani anayoyafanya yamekuwa ni kituko sasa sijui tunaijenga jamii gani ya kitanzania:angry::angry:
Itakusaidia nini wewe? Wacha ujuha!
Kipi cha kuumiza? Kumezuka tabia ya kila memba kutaka kujua cv ya fulani na fulani... Hii inamsaidia memba nini hasa! Kama si ujuha tu?Waumia eeh?
Kipi cha kuumiza? Kumezuka tabia ya kila memba kutaka kujua cv ya fulani na fulani... Hii inamsaidia memba nini hasa! Kama si ujuha tu?
Kweli? Then what?Just a matter of comparison for what S/he is giving up to what s/he is taking in! + argumentation/reasoning etc.
To make a plan for decisionKweli? Then what?
Kwa kuwa wewe ndie mwajili au huyo Makamba kaja kuomba kazi kwako?To make a plan for decision
kweli? then what?
Kwa kuwa wewe ndie mwajil(r)i au huyo Makamba kaja kuomba kazi kwako?
Ni Ujinga tu wa Mwafrika!
Kwa kuwa wewe ndie mwajili au huyo Makamba kaja kuomba kazi kwako?
Ni Ujinga tu wa Mwafrika!
MMh... Toka lini? Makamba ni katibu mkuu. Cv yake ndiyo imemfikisha hapo! Halafu hiyo lugha imekaa kienyeji sana!CV is not an act of employers only-it affects almost all people! Makamba is the head of Ruling party CCM, the party that spearheading all country decissions in the country. You do simply understand the importance of having to know the capability of ths guy. However the overall importance to know the knowledgebility of Makamba is just to become free from stress to what is given to the public by ths guy! more next? plz!
Wewe mpakistan au? mbona hueleweki, hivi kwa mambo ambayo anafanya waTZ halali tukihoji. Mbona ya kina Slaa tuliiona?
Kama wewe ni mwajiri wa chadema hapana shaka umeiona CV ya Slaa. Mimi sina haja ya kujua cv ya Slaa wala yako!