STEIN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,770
- 553
Naona wewe ndie umekereka zaidi, baba mkwe anaingia vipi hapa? Cha msingi sijaona umuhimu wowote wa mtu kutaka kujua CV ya Makamba!
Tuko serious tunataka CV ya makamba au ile ya kuwa mwl. Shule ya msingi ndio hadi mkuu wa mkoa hadi Ktb mkuuwa CCM, tunataka ya kishule zaidi.