jogoo ndo nini.
ya kienyeji balaa mi napenda la kizungu... staharabu... hata kwenye harakati zake..
unamaanisha cockimagine kama kungekuwa na uwezekano wa jogoo kutolewa na kurudishwa, kuazimishwa au hata kuuzwa.. ingekuwaje?
imagine kama kungekuwa na uwezekano wa jogoo kutolewa na kurudishwa, kuazimishwa au hata kuuzwa.. ingekuwaje?
Njoo huku taahira mwenzangu, tujitemee miudenda kwa raha zetu.
nadhani leo nina mdondo....
hhhahahaaaaaa nakujaaa
Duh! Basi wewe huujui utamu wa jogooo.
Banza Stoney--Mwalimu wa walimu aliimba "SUPU YA KUKU WA KIENYEJIIIII.......".
Hebu jaribu supu ya Lijogoo la kienyeji, Haki ya mimi vile, utahamia huku kwetu
ni yuleeeee ..... unamjua...?