Mtanga Tc
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 235
- 84
Wakuu,nimepata neema ya kupita ktk shule ya Mwenge leo ambayo ilikuwa na sifa kedekede miaka ya nyuma pamoja na heshima ktk huu mji mdogo wa Singida.Lengo kuu ni kujidhirisha na mazingira ya elimu ktk shule hii ambayo "my lost rib happened to school there about more than twenty years ago"
Kweli inasikitisha kuona sehemu hii kama imetelekezwa!Indeed it does not reflect the presence of Life around nor enticing the ambitious young generation to focus on their studies due to its current status!!!
To the best of my understanding,shule hii imetoa some intelectual heavyweights who are in very prestigious positions not only across the country but also Across the boarders! Mimi kwa mtazamo wangu nadhani kwamba kwa sababu yeyote ile...shule hii haitendewi haki....
kwa wale wadau mliopitia shule hii mimi nimeonelea niwakilishe mada hii,nani ajuaye kwamba suluhisho litapatikana kuinusuru hali halisi ya mazingira ya shule hii???
Kweli inasikitisha kuona sehemu hii kama imetelekezwa!Indeed it does not reflect the presence of Life around nor enticing the ambitious young generation to focus on their studies due to its current status!!!
To the best of my understanding,shule hii imetoa some intelectual heavyweights who are in very prestigious positions not only across the country but also Across the boarders! Mimi kwa mtazamo wangu nadhani kwamba kwa sababu yeyote ile...shule hii haitendewi haki....
kwa wale wadau mliopitia shule hii mimi nimeonelea niwakilishe mada hii,nani ajuaye kwamba suluhisho litapatikana kuinusuru hali halisi ya mazingira ya shule hii???