Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Kwa mujibu wa matangazo ya RFA hivi punde... mgombea wa Chadema amepata kura 17 wakati wa CCM amepata kura 15 (sikuweza kuyakariri majina yao haraklaharaka) sasa hivi wanachagua naibu meya
Kwa mujibu wa matangazo ya RFA hivi punde... mgombea wa Chadema amepata kura 17 wakati wa CCM amepata kura 15 (sikuweza kuyakariri majina yao haraklaharaka) sasa hivi wanachagua naibu meya
Imetuliia
Yanayotokea Arusha kwa Mwanza hakuna tena, ni baada ya haki kutendeka.
Source: RFA