Amri sio sheria. Hilo liko wazi lakini unajifanya hulioni au wewe ndio mmoja wa wale wenye IQ kiduchu to sema hapa.kavunja amri ya polisi.utii sheria bila shuruti ni muhimu
Amri sio sheria. Hilo liko wazi lakini unajifanya hulioni au wewe ndio mmoja wa wale wenye IQ kiduchu to sema hapa.kavunja amri ya polisi.utii sheria bila shuruti ni muhimu
Hata uingereza na marekani kampeni zikianza ndio kuna mikutano, uchaguzi ukiisha watu wanakuwa bize kujenga nchi. We hata miezi 6 haijaisha mamikutano na maandamano kutwa kucha yasiyo na tija! Bungeni wanatukana ovyo, hawatii kanuni za bunge yaani ni ujinga mtupu!
Jana,Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA,Freeman Mbowe pamoja na viongozi wengine wa chama hicho walikamatwa na jeshi la polisi huko Mwanza. Kosa lililoripotiwa ni 'kuwasalimu' watu wa vijiweni. Wakati huohuo,Kiongozi wa ACT-Wazalendo Zitto Kabwe anasakwa na jeshi la polisi.
Kosa linalotajwa kwa Zitto ni kutaka 'kuichambua bajeti ya Serikali ya 2016/2017' .Wachambuzi wa kisiasa wanayaona matukio hayo kama juhudi za makusudi za 'kuwadhibiti' wanasiasa wa upinzani. Zitto amesimamishwa kuhudhuria vikao vya Bunge huko Dodoma.
Mikutano yote ya kisiasa (ikiwemo makongamano na kusalimiana kimakundi) kumepigwa marufuku! Ndiyo mambo ya demokrasia? Tenga muda leo uyasome magazeti ya Mwananchi na Mtanzania ya leo!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam.