Mwanza City on a major Shopping project

Hivi mkuu Eiyer, zile nyumba pale jirani eti hazitabomolewa. Zile ghorofa mbili na nyumba zilizo jirani yake?

Mkuu,unazizungumzia zipi?

Zile ambazo ziko ndani ya eneo la Mall,zile za macontractor au zile za nje ya eneo la Mall?

Kama ni zile ambazo ziko nje nilipata taarifa kuwa zitaondolewa lakini baadae wakasema hawataziondoa,lakini ngoja tusubiri muda ufike ndio tutathibitisha

Kama ni zile za ndani wataziondoa wakimaliza kazi .....!!
 
Hivi mkuu Eiyer, zile nyumba pale jirani eti hazitabomolewa. Zile ghorofa mbili na nyumba zilizo jirani yake?

By the way ,ukiuangalia huu muonekano wa wa hii Mall kwa nyuma yaani ule upande ambao sio wa barabarabarabara ya kwenda eapoti,ukiangalia utaona kama kuna ziwa hivi ....

Hiyo inawezekanaje wakati mall iko mbali na ziwa?

Au nina mawenge?
 
THE Mwanza City Council, acting in collaboration with the Local Authority Pensions Fund (LAPF), are planning to erect a shopping mall along Makongoro Road in the Ghana area of the city, starting December.

The three-storey commercial complex to cover an area of six hectares is expected to serve up 10,000 people and enable approximately 7,000 vehicles to park in the place daily.

Acting city director Jeremiah Mahinya told Business Times that the project was currently at the stage of identifying the contractor and supervision consultant before implementation starts.

The mall will feature children playing grounds, restaurants, shops, cinema halls, bank services, tourist attractions, supermarkets among other things, helping to improve the city's social and commercial environment.

He could not immediately cite the project costs, saying this shall await picking a contractor and supervision consultant for it to be affirmed.

It will be a multipurpose shopping complex consisting of a public area located at the ground floor while on the first storey there will be conference rooms and other
function halls.

"The market will be designed in such a way that one can move from one floor to another by stairs or escalators, while the design also allows easy collection of garbage.

The facility is likely to stimulate various activities and attract more capital to the city, located on the shores of the world's second largest freshwater body after Lake Superior in the US.

Mwanza City consists of hilly masses characterized by rock inselbergs, serving as a commercial hub for the African Great Lakes Region as it is easier to cross to any country from Mwanza than it is otherwise be from other urban complexes around the lake.

The city is also located a few hundred kilometers from the Serengeti National Park, Rubondo Game Reserve located within the lake island spread, the Bujora Traditional Centre and Ukerewe Island where there is a dancing stone offering tourist attraction to visitors, mostly foreigners arriving in Mwanza.
 
Mlimani City nilishiriki kuijenga mwaka 2005/2006 nilikuwa pale na Noremco. Jengo lina upana wa mita 72 na urefu wa mita kama 129 hivi. Car Parking ile nilishiriki kuijenga imesanifiwa na kwa sasa ndiyo uwezo wake ni wa kuchukua magari 3000. Kadri nianavyo hiyo prototype( au 3D) ya mdau, bado hiyo Mall ya Mwanza ni ndogo kuliko Mlimani City. Uwezo wa Car parking ya Quality Centre ni magari 800 tu, hayazidi 1000. Hivyo kwa haraka Mlimani City ni kubwa kwa sasa labda Westgate ndo inamzidi.!

Kumbuka mlimani city slop rocky city gorofa
 
Sexer ni mtoto mdogo tu huyo hajui kitu. quality centre yenyewe walipiga kelele, 'oh! kubwa kuliko'. wapi? ukienda pale ni kama umeenda posta, parking hazitoshi. mlimani city ndo mambo yote, the busiest single place in tanzania. pale kuna shopping mall, ambayo hata hiyo mall ya mwanza haifikii, then kuna executive park ambayo ni kubwa tena kwa eneo lote la hiyo ya mwanza. hapo utakuta corporate offices za voda, tib, na wengine, na conference centre.

We kibibi unajua nn?
 
nasikia eti baada ya miaka 100 mlimani city itakuwa mali ya UDSM
sina uhakika na hilo. ila kwa sasa wanamiliki kwa ubia na ndo maana wanafanyia 'graduation ceremonies' pale kwa kuwa ni kwao.
 
attachment.php
images
 
Mrejesho tafadhari. Naona uzi wa kitambo huu.

Ndo maana nimemuuliza mmojawapo kwamba keshatembelea miradi yote miwili au anaandika tu sababu anajua kuandika.

sion haja ya kupga kelele kwan mnabishana nini
me ni fund mpaka dk hii nayoongea nipo hum ndan na mliman city naijua vizur
hii ktu ya mwanza ni habar nyingne kabisa cyo ya kufananishwa na m. city wala quality center
mnyamaze tusubir ufunguz
 
sion haja ya kupga kelele kwan mnabishana nini
me ni fund mpaka dk hii nayoongea nipo hum ndan na mliman city naijua vizur
hii ktu ya mwanza ni habar nyingne kabisa cyo ya kufananishwa na m. city wala quality center
mnyamaze tusubir ufunguz
Kaka hivi inafunguliwa lini na nasikia hiyo kitu ilipaswa ku extend hadi karibia na ghana huko kilitokea nini?
 
Kaka hivi inafunguliwa lini na nasikia hiyo kitu ilipaswa ku extend hadi karibia na ghana huko kilitokea nini?

mkataba uliisha mwaka huu
na ilitakiwa iwe imekamilika lakin kutokana na mazingira ya eneo husika lina maji meng na udongo wa mfinyanz
ikaleta mushkel kidogo kwa hiyo kinachofanyika ni kuondoa top soil na kupanda ardhi mpya ambayo inawekewa material ambayo ni water resistant
kwa wakaaj wa eneo hili wanakumbuka palikuwa na maji sana
hyo ndo sababu kuu kwa mradi kuchelewa
pia karibia robo ya ghana magharib limetapakaa jengo hilo
 
sion haja ya kupga kelele kwan mnabishana nini
me ni fund mpaka dk hii nayoongea nipo hum ndan na mliman city naijua vizur
hii ktu ya mwanza ni habar nyingne kabisa cyo ya kufananishwa na m. city wala quality center
mnyamaze tusubir ufunguz
fundi bomba au? hahaha!! yani upo mcity ndo unatia mbwembwe zote hizo? ungekuwa mwanza, hapo sawa. kwa sababu ile ndo inajengwa!
 
fundi bomba au? hahaha!! yani upo mcity ndo unatia mbwembwe zote hizo? ungekuwa mwanza, hapo sawa. kwa sababu ile ndo inajengwa!

we kilaza pisha wenye akil timamu waulize maswali
nyamaza mjengo ufunguliwe ukanunue pipi na co*ndm
 
fundi bomba au? hahaha!! yani upo mcity ndo unatia mbwembwe zote hizo? ungekuwa mwanza, hapo sawa. kwa sababu ile ndo inajengwa!
Fatilia post toka mwanzo kiongozi huyu ni fundi yupo ndani ya hiyo shopping mall ya Mwanza inayojengwa na alikuwa anatoa mlinganisho wake kwamba hilo jengo haliifikii mlimani City kwasababu hata mlimani City anapafahamu
 
we kilaza pisha wenye akil timamu waulize maswali
nyamaza mjengo ufunguliwe ukanunue pipi na co*ndm
kumbe ndo zako eh!! kuuza sura kwa pipi ya 50/-

Join Date : 2nd November 2014
Posts : 25
Rep Power : 308
Likes Received0
Likes Given2
 
Fatilia post toka mwanzo kiongozi huyu ni fundi yupo ndani ya hiyo shopping mall ya Mwanza inayojengwa na alikuwa anatoa mlinganisho wake kwamba hilo jengo haliifikii mlimani City kwasababu hata mlimani City anapafahamu
got it! lets wait and see
 
Back
Top Bottom