Mwanza City on a major Shopping project

Naamini hata kama ni ghorofa, kwa prototype hiyo, haiwez kuifikia Mlimani City, mark my words! Hata parking bado haiwez kuwa sawa na pale Mlimani City. Hiyo ya Mwanza inakisiwa kuchukua magari 7000 kwa siku, wkat Mliman City ni magari 3000 kwa wakati mmoja! Hata hivyo hongera jiji la Mwanza kwa Mall ya kisasa

Kuhusu umiliki wa Serikali au Umma kwa ujumla pale Mlimani City, kwa kuwa nilikuwa tu upande wa ujenzi, tuliambiwa kuwa mradi ni wa miaka50 chini ya Mwarab wa Botswana, mwenye Malls nyingi kule SAfrika. Katika kipindi hicho, Mwarab atalipa kodi za serikali, atawapa mgawo kidogo UDSM, baada ya hapo ataipa serikali na kwa hapa ni UDSM. Mfumo huo unaitwa ni BOOT- Build, Own, Operate and Transfer! Huu ni tofauti na BOT au PPP, japo una mambo ambayo yanafanana!
Hiv mlimani city zko mbili au, na hiyo parking unayoisema iko upande gan mwa mliman city, ile parking ya mliman city kwa hii ziko mbili, acha kupotosha naweza kubaliana kwa mbali na mtu aliyejadil kuhusu wakandarasi na wajenzi wa mliman city lakin kwa ukubwa na uzuri hii kitu iko mbali sana.
Karibu mwanza ujionee tofauti acha maneno ya kuambiwa na data mfu.
 
Daah kitu hicho kwa nje tu hpo
 

Attachments

  • 1439113242916.jpg
    1439113242916.jpg
    52 KB · Views: 366
  • 1439113260668.jpg
    1439113260668.jpg
    43.8 KB · Views: 342
  • 1439113281933.jpg
    1439113281933.jpg
    49.3 KB · Views: 320
  • 1439113327715.jpg
    1439113327715.jpg
    59.9 KB · Views: 317
  • 1439113366771.jpg
    1439113366771.jpg
    52.2 KB · Views: 333
Back
Top Bottom