Ukiona maamuzi yanachelewa au matamko yanakuwa mengi ujue ishu ishakuwa ngumu,kwani ya jairo yameishia wapi?
Jairo aliwakejeli wabunge kwamba ni kama waigizaji wa vichekesho a.k.a comedians
Masaburi amewakejeli wabunge kuwa wanafikiri kwa kutumia m.a.ka.l.i.o
Lazima watakuwa na nguvu fulani nyuma yao
Jairo aliwakejeli wabunge kwamba ni kama waigizaji wa vichekesho a.k.a comedians
Masaburi amewakejeli wabunge kuwa wanafikiri kwa kutumia m.a.ka.l.i.o
Lazima watakuwa na nguvu fulani nyuma yao