Habari wadau
Tukio la jijini hapa Mwandishi wa Habari Leo John Mhala amewekwa kati na genge la wanawake kutoka DSM na kujikuta akisutwa na kupakwa matusi kedeke baada ya kudaiwa kusambaza picha za ngono za kocha wa timu ya AFC Arusha aliyekuwa akila uroda na mke wa mchezaji wake.
Kazi maalumu ya kumsuta Mhala ilifanyika pembezoni mwa Jengo la CCM Mkoa wa Arusha majira ya jioni.
Nawasilisha
Tukio la jijini hapa Mwandishi wa Habari Leo John Mhala amewekwa kati na genge la wanawake kutoka DSM na kujikuta akisutwa na kupakwa matusi kedeke baada ya kudaiwa kusambaza picha za ngono za kocha wa timu ya AFC Arusha aliyekuwa akila uroda na mke wa mchezaji wake.
Kazi maalumu ya kumsuta Mhala ilifanyika pembezoni mwa Jengo la CCM Mkoa wa Arusha majira ya jioni.
Nawasilisha