Mwandishi Mwanahalisi, kuuawa?

Mvaa Tai

JF-Expert Member
Aug 11, 2009
6,159
4,443
Mwandishi wa Gazeti la kila wiki la Mwanahalisi Ndugu Joster Mwangulumbi ametishiwa kuuawa na mmiliki wa simu namba 0652916931 Siku ya jumamosi, june 4, 2011. Mara ya kwanza aligiwa simu kumueleza ajiandaye na kifo mara ya pili iliingia sms ikionyesha kama ilikosea kuingia kwake bali ilikuwa iwafikie wauaji wenzake, SMS hiyo inasomeka kama ifuatavyo; "Nipo Segera, hakikisha petrol ipo ya kutosha, bastola nakuja nayo wasiliana na Hangi kwa namba 0759221096 aandae ninja za kuficha uso"

Source Mwanahalisi la leo
 
Ukiona vimeseji ujue hakuna kitu, ila namuombea aishi kuliko aliyewatuma ili aendelee kupambana nao.
 
Mwandishi wa Gazeti la kila wiki la Mwanahalisi Ndugu Joster Mwangulumbi ametishiwa kuuawa na mmiliki wa simu namba 0652916931 Siku ya jumamosi, june 4, 2011. Mara ya kwanza aligiwa simu kumueleza ajiandaye na kifo mara ya pili iliingia sms ikionyesha kama ilikosea kuingia kwake bali ilikuwa iwafikie wauaji wenzake, SMS hiyo inasomeka kama ifuatavyo; "Nipo Segera, hakikisha petrol ipo ya kutosha, bastola nakuja nayo wasiliana na Hangi kwa namba 0759221096 aandae ninja za kuficha uso"

Source Mwanahalisi la leo

Hii ni hatari, hebu ngoja tusikilizie kama kuna ukweli wowote, kwasababu sasa hivi namba husajiriwa obvious wahusika watakamatwa haraka sana, nchi yetu chini ya Utawala wa Chama cha Mapinduzi hatukuzoea kuuana
 
Usajjili wa namba bado una walakini, mtu akinunua laini mpya anaweza kuitumia kwa muda wa mwezi mmoja kabla ya kuisajili na hili ndilo linaleta matumizi mabaya ya mawasiliano
 
Kama wameshindwa kumkamata DC-Ilala ambaye mahakama imotoa arrest warrant na polisi ya CCM hawajamkata itakuwa hawa wa Mwangulumbi?
 
Kama wameshindwa kumkamata DC-Ilala ambaye mahakama imotoa arrest warrant na polisi ya CCM hawajamkata itakuwa hawa wa Mwangulumbi?

Inawezekana kwani DC yupo juu ya sheria? nadhani zinaandaliwa rojistiki za kumkamata mbona Mbowe imewezekana? itsi e mata oftaim atakamatwa tu, nchi yetu inaendeshwa kwa utawala wa sheria.
 
Hizi ndiyo taarifa za kiintelijensia,nadhani wenyewe zinawafikia.Pole Joster.
 
Mwandishi wa Gazeti la kila wiki la Mwanahalisi Ndugu Joster Mwangulumbi ametishiwa kuuawa na mmiliki wa simu namba 0652916931 Siku ya jumamosi, june 4, 2011. Mara ya kwanza aligiwa simu kumueleza ajiandaye na kifo mara ya pili iliingia sms ikionyesha kama ilikosea kuingia kwake bali ilikuwa iwafikie wauaji wenzake, SMS hiyo inasomeka kama ifuatavyo; "Nipo Segera, hakikisha petrol ipo ya kutosha, bastola nakuja nayo wasiliana na Hangi kwa namba 0759221096 aandae ninja za kuficha uso"

Source Mwanahalisi la leo
waswahili bado tunaogopa sana kufa utadhani hatukuzaliwa. Fikiria, kama mababu zetu wawili kati ya 80 waliokuwa nanaswagwa kutoka Ujiji mpaka Bagamoyo wangeamua kujitoa muhanga wakafa na kumuua Mwarabu aliyekuwa anawaswaga labda historia isingesomeka hivi leo na hao wawili "wangekuwa hai" hivi leo! Lakini kundi lote la watu zaidi ya 80 waliswagwa mpaka Bagamoyo na hakuna tunaye mkumbuka kwa ujasiri hivi leo.
Hivyo kubali au ukatae kulingana na hali halisi ya sasa Mwandishi wa Gazeti la kila wiki la Mwanahalisi Ndugu Joster Mwangulumbi ni sawa na hao wawili kati ya zaidi ya Watanzania milioni 47.. ....kuna watu ambao watasahaulika muda sio mrefu lanini believe me Ndugu Stanslaus Katabaro (Mungu aupe baraka uzao wake na) anaweza kukumbukwa mwaka 2099.
 
waswahili bado tunaogopa sana kufa utadhani hatukuzaliwa. Fikiria, kama mababu zetu wawili kati ya 80 waliokuwa nanaswagwa kutoka Ujiji mpaka Bagamoyo wangeamua kujitoa muhanga wakafa na kumuua Mwarabu aliyekuwa anawaswaga labda historia isingesomeka hivi leo na hao wawili "wangekuwa hai" hivi leo! Lakini kundi lote la watu zaidi ya 80 waliswagwa mpaka Bagamoyo na hakuna tunaye mkumbuka kwa ujasiri hivi leo.
Hivyo kubali au ukatae kulingana na hali halisi ya sasa Mwandishi wa Gazeti la kila wiki la Mwanahalisi Ndugu Joster Mwangulumbi ni sawa na hao wawili kati ya zaidi ya Watanzania milioni 47.. ....kuna watu ambao watasahaulika muda sio mrefu lanini believe me Ndugu Stanslaus Katabaro (Mungu aupe baraka uzao wake na) anaweza kukumbukwa mwaka 2099.

Mimi sipo vizuri sana katika historia, who is Ndugu Stanslaus Katabaro?
 
Hawana lolote hao..wanamtishia tu..endelea kuandika makala za ukweli joster.
 
Ndiye aliyeandika ufisadi wa loliondo miaka ile!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! wakati tuna gazeti linaitwa mfanyakazi sijui siku hizi lipo sina hakika kashfa za ufisadi zilianza siku nyingi

Nimekupata vyema
 
Hii ni hatari, hebu ngoja tusikilizie kama kuna ukweli wowote, kwasababu sasa hivi namba husajiriwa obvious wahusika watakamatwa haraka sana, nchi yetu chini ya Utawala wa Chama cha Mapinduzi hatukuzoea kuuana

ccm hamjazoea!!!???mweee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom