Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,535
- 8,620
Wadau naomba kujuwa alipo mwandishi maarufu wa makala, na one time mhariri na mmiliki wa gazeti la JITAMBUE.
Ameandika vitabu vingi vya lugha na hadithi, na kuna wakati alikuwa na TALK SHOW pale TBC1 Wakati ikiwa TVT. Pia amewahi kuwa Majira Publishers, nadhani mhariri wa vitabu among other things...
MHARIRI, MUNGA TEHENAN!
Ameandika vitabu vingi vya lugha na hadithi, na kuna wakati alikuwa na TALK SHOW pale TBC1 Wakati ikiwa TVT. Pia amewahi kuwa Majira Publishers, nadhani mhariri wa vitabu among other things...
MHARIRI, MUNGA TEHENAN!