goodluck mwakipokile
JF-Expert Member
- Nov 11, 2015
- 250
- 250
Taarifa ya kifo chake ilitangazwa sana,kifo chake kiliongozana Na cha mdogo wake shaaban munga.
Mungu aliaga dunia kitambo,kitu kama 2007 hivi na aliswaliwa pale msikiti wa kibo.Alipokufa na shughuli zake zote ziliishia hapo.Kuna umuhimu wa kujenga mfumo wa kitaasisi kuliko kusimama mtu kama mtu.Chanzo chagazeti lajitambue kutotoka nikifo chake nasio mwak juzi nimuda zaidi yamwKaka juzi
Namkumbuka sana kwa gazeti lake la jitambueWadau naomba kujuwa alipo mwandishi maarufu wa makala, na one time mhariri na mmiliki wa gazeti la JITAMBUE.
Ameandika vitabu vingi vya lugha na hadithi, na kuna wakati alikuwa na TALK SHOW pale TBC1 Wakati ikiwa TVT. Pia amewahi kuwa Majira Publishers, nadhani mhariri wa vitabu among other things...
MHARIRI, MUNGA TEHENAN!
Mkuu, ulichoongea ni ugonjwa mkubwa sana kwenye familia nyingi sana...Mungu aliaga dunia kitambo,kitu kama 2007 hivi na aliswaliwa pale msikiti wa kibo.Alipokufa na shughuli zake zote ziliishia hapo.Kuna umuhimu wa kujenga mfumo wa kitaasisi kuliko kusimama mtu kama mtu.
Nahitaji kupata hizi video, unanisaidiaje ndugu?Mi nilikuwa nafatilia makala zake kwenye magazeti ya Jitambue tu. Tena kipindi hicho nilikuwa bado mdogo sana kiasi kwamba binafsi sikuwa na hela hata ya kununua gazeti hivyo kama baba hakuleta hilo gazeti basi siku hiyo nilikuwa nakosa raha.
Pia nimekuja kupata video zake mwaka huu huu ila kumbe tayari ameshaucha mwili
Ni kweli alitutoka kimwili kama mwenyewe alivyopendelea kusema.
Mojawapo ya makala zake ambayo ilichukuliwa kama ilikuwa ikitabiri kifo chake ni hii ambayo nitaiweka hapa chini.
Na ni kweli hayao yote aliyo yaandika yalitokea kwenye msiba wake, nadhani waliohudhuria watakumbuka zaidi.
Samahani mkuu, naomba nami uniPM video hizo kama hautajali. Natanguliza shukrani.Nipm tuone utazipataje ila kwa whatsapp haiwezekani
Pole sanaleo ndiyo nimejua kumbe Munga alifariki,nilijaribu hata kumgoogle lakini sikupata la maana,du nimesikitika sana