Wana JF niliwahi kusema huko nyuma kuwa Gazeti la Raia Mwema huko tuendako ndio gazeti litakalo tumika kukiangamiza chama cha CHADEMA. Nimesoma makala ya leo kwenye gazeti hili ya Mayage S. Mayage nimegundua pasipo shaka kuwa Mwandishi huyu alitoka kule alikokuwa na kuandika makala za mwanzo za kuisifia chadema ili kuwavuta wasomaji na hasa wapenzi wa Chadema ili baadaye afanye kazi anayoifanya sasa hivi ya kukibomoa.
Mayage katika makala yake ya leo anasema hajaona chama mabadala wa CCM na anashauri kuanzishwe chama kipya badala ya hivi vilivyopo yeye anavilinganisha na NGOs , mimi namshangaa Mwandishi huyu anayejiona mahiri mimi nammuno ni mjinga tena asiyejiamini kama yeye hajaona vyama mbadala wa CCM kwa nini asianzishe yeye chama chake kwa malengo hayo, anakazana kusema hajaona chama kianzishwe kipya anasubiri nani amwanzishie chama kitakacho kuwa mbadala, nani anafikiri atamwanzishaia chama cha kuendana na matakwa yake kama si yeye mwenyewe.
hapo tukisema umetumwa utasema tunakusingizia. Mimi nimshauri kuwa hana haki ya kufikiri kwa niaba yetu yeye kama anafikiri chama mabadala wa CCM bado asubiri hao anaofikiri watamwanzishia chama siyo kulalamika hakuna chama, sisi wenzio tumeshamwona mbadala wa CCM wala hatuhitaji kuambiwa na mtu mwenye macho haambiwi tazama. Nimshauri pia Dr Slaa asiangaike kujibu watu kama hawa lengo lao mbona linfahamika ni kuivuruga Chadema kabla ya 2015.
Mayage katika makala yake ya leo anasema hajaona chama mabadala wa CCM na anashauri kuanzishwe chama kipya badala ya hivi vilivyopo yeye anavilinganisha na NGOs , mimi namshangaa Mwandishi huyu anayejiona mahiri mimi nammuno ni mjinga tena asiyejiamini kama yeye hajaona vyama mbadala wa CCM kwa nini asianzishe yeye chama chake kwa malengo hayo, anakazana kusema hajaona chama kianzishwe kipya anasubiri nani amwanzishie chama kitakacho kuwa mbadala, nani anafikiri atamwanzishaia chama cha kuendana na matakwa yake kama si yeye mwenyewe.
hapo tukisema umetumwa utasema tunakusingizia. Mimi nimshauri kuwa hana haki ya kufikiri kwa niaba yetu yeye kama anafikiri chama mabadala wa CCM bado asubiri hao anaofikiri watamwanzishia chama siyo kulalamika hakuna chama, sisi wenzio tumeshamwona mbadala wa CCM wala hatuhitaji kuambiwa na mtu mwenye macho haambiwi tazama. Nimshauri pia Dr Slaa asiangaike kujibu watu kama hawa lengo lao mbona linfahamika ni kuivuruga Chadema kabla ya 2015.