Am For Real
Senior Member
- Nov 21, 2023
- 179
- 485
Oa wewe
Target yangu ni Vijana WA kiume wawe strongNdoa sio jambo linalotegemea umri, ni jambo la utayari. Kama utasukumwa na umri ila ndani yako hakuna utayari utakuwa umepoteza muda.
Kwenye ndoa hatutafuti tu watoto kwamba umri wa miaka 29 unatakiwa uwe na watoto wawili blah blah..
Ndoa ni maisha wapo ambao wanao hao watoto, Mali n.k ila bado wanazikimbia ndoa zao. Pia kuzaa kwasasa sio kama zamani kwamba unazaa tu watoto nyumbani kuna mashamba watalima.
Sasa hivi ukizaa ujue umejiongezea jukumu kubwa sana ambalo linahitaji pesa yako, uangalizi wako, muda wako n.k.
Vijana wapewe elimu ha mahusiano na ndoa kisha waachwe wafanye maamuzi
HapanaaaAyaaaaa
Tukatamani tukuwachishe tukuwowe upyaaaaaaa
alioa age mate au ilikuajee?Kuna rafiki yangu alioa akiwa na miaka 26
Alikuwa yuko poa kimuonekano kwa sisi tunaomuona nje
Tulikuja kuujua ugumu wa ndoa siku alivyokunywa pombe akalewa
Kama mnavyojua pombe ikikolea unakuwa msema kweli mpenzi wa Mungu
Kuoa kupo kikubwa uwe na mtoto wa ujanani basKaka ume nena vyema, Mimi kuoa Sina wahi fikiria.
👉Maybe 8 yrs from now, nita fikiria kutongoza 😆🤒
Chief inashangaza huyotunaetaka kumuoa ni nani?kwanKuna msemo WA kataa ndoa ni msemo WA kioga kwa wAnaume Sababu kuu ya kataa ndoa ni.
Éti Wanawake ni wapenda hela, wajeuri hawajatulia.n.k.
Unakuta a man ni 29yrs anaogopa kuoa mwanamke mwenye elimu,pesa au mzuri kisa Eti atamsumbua
Bro kaza kiume ingia kwenye ndoa mpe mwanamke wako vigezo na masharit ya ndoa halafu stay real focus n'a maisha
Mwambie mwamke wako akupende asikupende Ila kukuheshimu ni lazima
Mwambie hakuna second chance akikucheat anarudi nyumban kwao stay strong .
tongoza mara moja kama hakutaki achan nae wanawake ni mwengi sana.
miaka 30 ni Muda WA kutafuta mtoto WA pili Mwanaume
My crushNshawolewa,
Mi nawaza ubilionea mzee masuala ya kuleteana mtu wa kunihoji kwann umerudi saa tisa usiku sitaki kuskia, afu ubilionea inakua na Siri nyingi sitaki mtu wa kuingilia mambo yanguMkuu mbona umekua mkali?😆😅😅😅
🤣🤣🤣 Chief umefika mbali kihisia mbnMi nawaza ubilionea mzee masuala ya kuleteana mtu wa kunihoji kwann umerudi saa tisa usiku sitaki kuskia, afu ubilionea inakua na Siri nyingi sitaki mtu wa kuingilia mambo yangu
Tafuta maokoto kwani,My crush
Tulia hvo hvo kijana mdogo wewe😁🤣🤣🤣 Chief umefika mbali kihisia mbn
Apeche alollo anawaza ubilionea ww unawaza kumuangusha we ulisikia wapi tuendelee na u crush ivoivoTafuta maokoto kwani,
Muda unapata wapi wa kuwaza u crush na uko apeche aloloo.
Kalili hivyohivyo..Aisee, sikukatishi tamaa ila wengi wa wanaosema "hadi nifanye jambo fulani ndio naoa", hawafikii malengo yao na maisha yanaendelea kuwanyoosha tu.
Kariri️Kalili hivyohivyo..
🤣🤣🤣🤣🤣Sindio huyu anakuwazia madogo mmbo ikiwa ww unawaza yalio makubwa mbele yako utapowekajukumu la kuoa ndipo Utapata hamasa yakutafuta zaidi mwenyew atakuelewa yakua upo unatafutaTulia hvo hvo kijana mdogo wewe😁
PoleKuna kipindi nipo kitaa,hali ni tete,sijui pa kuanzia,giza totoro,nakutana na jamaa kafanyiwa kila kitu na wazazi wake,nyumba kapewa aishi bure,hajui kodi hua Tsh ngapi,gari kanunuliwa,mpk kuoa kasaidiwa baadhi ya mambo
Eti akawa ananisisitiza mimi nioe 🙆😊😄😄
Nilikua namuona ni mwehu sijui alitaka nije kuishi maisha gani na huyo mwanamke 🙆🙆
Jamani Maisha hatufanani
Iga ufePole