figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Kupenda sio hisia, ni uwezo.
Mwanamke ukisema unampenda, anasahauu hapo hapo, ndo maana wanauliza unanipenda? Wanataka kusikia
Unavyosema nakupenda maana yake ni nitegemee. Hivyo kama Umependa maana yake mpe hela ya kila kitu.
Majukumu ya mwanamke ni kukuheshimu tu. Yaani mwanamke ukimpenda haduduani nje. Akiduduana achana naye, maana yake haamini kama unampenda.
Mwqnamke mwambie unampenda kila unapo muona sababu anasahau haraka pia ukimwambia unampenda haamini
TATIZO
Mwanaume anachotaka ni kuheshimiwa tu. Asikuone na mwanaume mwingine wala mahusiano wala urafiki. Sababu wanaume wameumbiwa Wovu. Akigundua unacheka na mwanaume mwingine umekwisha.
So jitathimini.
Hutaki acha
Mwanamke ukisema unampenda, anasahauu hapo hapo, ndo maana wanauliza unanipenda? Wanataka kusikia
Unavyosema nakupenda maana yake ni nitegemee. Hivyo kama Umependa maana yake mpe hela ya kila kitu.
Majukumu ya mwanamke ni kukuheshimu tu. Yaani mwanamke ukimpenda haduduani nje. Akiduduana achana naye, maana yake haamini kama unampenda.
Mwqnamke mwambie unampenda kila unapo muona sababu anasahau haraka pia ukimwambia unampenda haamini
TATIZO
Mwanaume anachotaka ni kuheshimiwa tu. Asikuone na mwanaume mwingine wala mahusiano wala urafiki. Sababu wanaume wameumbiwa Wovu. Akigundua unacheka na mwanaume mwingine umekwisha.
So jitathimini.
Hutaki acha