Hapo pamesha haribika unatamani umwambie punguza sauti lakini haiwezekani,ndio silaha aliyowajalia Mungu,anaku-punish kwa kutumia mdomo wake,huwa naogopa ikishafikia hapo,na hapo lazima uwe mpole tu kwa wengine kinachofuatia hapo ni kuanza kutoa dozi ya mkog'oto.Eee Mungu niepushe na hilo balaa.
Yah muda muafaka ukifika na muolewaji akipatikana,nasaka hapatikani asalaleeee!
Wakikasirika midomo yao hainaga breki hawa,mwisho atakwambia 'mwone malaya kama baba yako'.
Mke anaolewa mimi naoa,big difference.
wa name mzima wewe!!!! Bishanga hajui huyo!! ni kuoana tu!!!!Correction! Mnaoana.
kashazoea wala haoni tabuMkuu pole sana!! Kumbe mkeo ana matusi namna hiyo?
Kama na wewe sa6 usiku upo mbali na mkeo.....hapo utu wako uko wapi?....kweli wanaume sio watu...
Huna tv kwako ??[/QUO
unaanza kujidai eh kwa kuwa nitts kakutengenezea avatar sio?
Hehehehe anitengenezee aringe lol.....hiyo ni picha ya ile harusi yangu nilokwambia mwezi uliopita!
Kama na wewe sa6 usiku upo mbali na mkeo.....hapo utu wako uko wapi?....kweli wanaume sio watu...
Futa kauli mkuu ( wanaume sio watu...)
Inamaana mume wako ni kitu gani kama siyo mtu???
Tutake radhi mkuu, ni kwa ajili ya mumeo pia.
Wakikasirika midomo yao hainaga breki hawa,mwisho atakwambia 'mwone malaya kama baba yako'.
Kama na wewe sa6 usiku upo mbali na mkeo.....hapo utu wako uko wapi?....kweli wanaume sio watu...
Futa kauli mkuu ( wanaume sio watu...)
Inamaana mume wako ni kitu gani kama siyo mtu???
Tutake radhi mkuu, ni kwa ajili ya mumeo pia.
Akinambia Bishanga nifute kauli yangu ntafuta ila wewe hapana!