Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
Mi sijali,we nenda uendako,rudi asubuhi,mtoto aumwe poa tu nitampeleka amana,nizae na wewe unifanyie vituko,unalala huko huko,waongo sana wanaume,umalaya tu,mnatutesa sana lakini mjue yote kwa yote mtato....bewa tu...........niko uswazi hapa napost live ishu, mdada anamwaga sera wakati tunasubiria mechi ya barca/real madrid.