Mwanaume kuiomba airtime voucher!!!!

sweetdada

JF-Expert Member
Feb 17, 2011
517
169
Wanandugu wapendwa hope mu wazima..

Hee!!nimeshangazwa na kitenndo cha mwanaume mmoja eti ananisumbua kwa muda wa mwezi kwa madai ananipenda..sasa cha kushangaza na ambacho sielewi..kila akipiga simu ataongea dakika tano afu ananambia"please call me back credit inaisha"...
hee!!mi nabaki kutoa macho huyu vipi??na mi namwambia hata mie yangu imeisha basi nikisema hivyo anaendelea kuongea..
cha kuchekesha leo asubuhi kanipigia tena simu kaongea mwisho akasema "nitumie vocha ya 2000 basi"..hee!!mi nikabaki mdomo wazi,nikamwambia sina hela..akakata simu.

Jamani nimeshangaa ajabu sijawahi kuona dunia nzima mwanaume anakuwa hivi especially akiwa anatongoza..huyu hata kama anataka kunifanya mie 'kitonga' si angesubiri basi akubaliwe..akaaa!!kani put off mnooo na kaniharibia siku yangu ya leo ..mxiiiiiii

Wanaume ndo mnaenda wapi kwa hii style jamani aii
 
Ngoja nikae kimya kwa thatha, ila nitarudi na nashukuru kwa kunifanya nianze na tabasamu siku ya leo
 
Umekutana na Sharobaro huyo dada maana mmmhh vocher ya 2000 kazi unayo
 
:lol::lol::lol: Kumbe inawauma na nyie kuombwa vocha basi mkae mkijua kuwa na sisi huwa inatu-put off nyie kutuomba vocha every now and then, sweetdada leo imekula kwako acha kubana mtumie mshikaji vocha banaa mbona nyie mkituomba huwa tunawatumia halafu mnaishia kutu-beep:lol::lol::lol:
 
Wanandugu wapendwa hope mu wazima..

Hee!!nimeshangazwa na kitenndo cha mwanaume mmoja eti ananisumbua kwa muda wa mwezi kwa madai ananipenda..sasa cha kushangaza na ambacho sielewi..kila akipiga simu ataongea dakika tano afu ananambia"please call me back credit inaisha"...
hee!!mi nabaki kutoa macho huyu vipi??na mi namwambia hata mie yangu imeisha basi nikisema hivyo anaendelea kuongea..
cha kuchekesha leo asubuhi kanipigia tena simu kaongea mwisho akasema "nitumie vocha ya 2000 basi"..hee!!mi nikabaki mdomo wazi,nikamwambia sina hela..akakata simu.

Jamani nimeshangaa ajabu sijawahi kuona dunia nzima mwanaume anakuwa hivi especially akiwa anatongoza..huyu hata kama anataka kunifanya mie 'kitonga' si angesubiri basi akubaliwe..akaaa!!kani put off mnooo na kaniharibia siku yangu ya leo ..mxiiiiiii

Wanaume ndo mnaenda wapi kwa hii style jamani aii

Namba za sim mlipeana vipi??
Mnajuana au hamjuani???
 
Namba za sim mlipeana vipi??
Mnajuana au hamjuani???

....ushaambiwa ndo wako stage ya kutongozana unapouliza wanajuana au hawajuani una maanisha nini shem (LZ)?kujuana ndo kupi?:juggle:
 
Namba za sim mlipeana vipi??
Mnajuana au hamjuani???

ni mfanyakazi mwenzangu so tunafahamiana na namba za simu kwa wafanyakazi humu kwetu kupeana its normal kwa wajili ya kikazi zaidi.sasa mwenzangu badala ya kuitumia kikazi akaamua kuitumia kibinafsi zaidi
 
:lol::lol::lol: Kumbe inawauma na nyie kuombwa vocha basi mkae mkijua kuwa na sisi huwa inatu-put off nyie kutuomba vocha every now and then, sweetdada leo imekula kwako acha kubana mtumie mshikaji vocha banaa mbona nyie mkituomba huwa tunawatumia halafu mnaishia kutu-beep:lol::lol::lol:

You said it all The Finest....Nimefurahi kusikia kuwa hata wadada nao wanaboreka wakiombwa 'vocha' au wakimbiwa naishiwa credit call me back! Inatuboa pia inapotokea mara kwa mara. Inaboa zaidi ukituma hiyo vocho pengine buku 2, then unaambulia msg ya ahsante tu, next time you hear from her its either a beep, tafadhali nipigie, au mzinga mwingine wa vocha!
 
Wanandugu wapendwa hope mu wazima..

Hee!!nimeshangazwa na kitenndo cha mwanaume mmoja eti ananisumbua kwa muda wa mwezi kwa madai ananipenda..sasa cha kushangaza na ambacho sielewi..kila akipiga simu ataongea dakika tano afu ananambia"please call me back credit inaisha"...
hee!!mi nabaki kutoa macho huyu vipi??na mi namwambia hata mie yangu imeisha basi nikisema hivyo anaendelea kuongea..
cha kuchekesha leo asubuhi kanipigia tena simu kaongea mwisho akasema "nitumie vocha ya 2000 basi"..hee!!mi nikabaki mdomo wazi,nikamwambia sina hela..akakata simu.

Jamani nimeshangaa ajabu sijawahi kuona dunia nzima mwanaume anakuwa hivi especially akiwa anatongoza..huyu hata kama anataka kunifanya mie 'kitonga' si angesubiri basi akubaliwe..akaaa!!kani put off mnooo na kaniharibia siku yangu ya leo ..mxiiiiiii

Wanaume ndo mnaenda wapi kwa hii style jamani aii

Inaonyesha wewe mchunaji sana.

Kwani ungempunguzia 300/= kuna ubaya gani?

Siku hizi mapenzi kusaidiana bana
 
ni mfanyakazi mwenzangu so tunafahamiana na namba za simu kwa wafanyakazi humu kwetu kupeana its normal kwa wajili ya kikazi zaidi.sasa mwenzangu badala ya kuitumia kikazi akaamua kuitumia kibinafsi zaidi

Kama mfanyakazi mwenzako kwa nn umeamua kumzalilisha?

Sio vizuri kuwa mstaarabu yaani kuombwa vocha imekuuma hivyo ukimpa je?
 
Inaonyesha wewe mchunaji sana.

Kwani ungempunguzia 300/= kuna ubaya gani?

Siku hizi mapenzi kusaidiana bana

Fidel, umeshasema "mapenzi kusaidiana"..mi sina mapenzi nae,yeye ndo ananitongoza..sasa iweje uniombe nikucall au vocha wakati hata sijakukubali,je nikikukubali si utaomba mahela mpaka nikome..akaa!hebu nielewe na wewe..au na wewe ndo walewale 'KITONGA'
 
Hahahahahahahah lol
kweli bongo kuna vituko
Mchore chini huyo
Hana mbele wala nyuma
Wanawake tunapenda kudekezwa
Tena ile mara ya kwanza mtu anapokutongoza

Huyo kijana alitakiwa akuletee kanga,akupeleke nje kwa dinner,
Na ye ndo akupe vocher

Khaa nani anataka mtu wa mamna hiyo
Angesubiri mpaka umwite mpenzi
Ndo angeanza hayo mambo..

Hembu mweleze ukweli

Na asikukatishe tamaa kwani wanaume wengi
hawako hivyo kabisa..
mwingine ataenda ku kopa fedha ili akufurahishe

Embu achana na hiyo michosho
u deserve better girl...
 
  • Thanks
Reactions: LD
Kama mfanyakazi mwenzako kwa nn umeamua kumzalilisha?

Sio vizuri kuwa mstaarabu yaani kuombwa vocha imekuuma hivyo ukimpa je?

Kumdhalilisha vipi sasa?kwani mfanyakazi mtongozaji ndo ana haki ya kuomba vocha?
angekuwa mshkaji sawa ningeona kawaida,ila siku zoote tuko kama strangers ni hi hi
kumbe mwenzangu anakufa kisabuni ,akaamua kuvunja ukimya
sasa ndo uniombe nikupigie na vocha juu!!
Hivi kuna mtu ananielewa kweli?au wote mnaona namfanyia mbaya????????
 
You said it all The Finest....Nimefurahi kusikia kuwa hata wadada nao wanaboreka wakiombwa 'vocha' au wakimbiwa naishiwa credit call me back! Inatuboa pia inapotokea mara kwa mara. Inaboa zaidi ukituma hiyo vocho pengine buku 2, then unaambulia msg ya ahsante tu, next time you hear from her its either a beep, tafadhali nipigie, au mzinga mwingine wa vocha!
Riwa they should know it works both ways sasa hapo sweetdada apige hesabu wanaume tunapoombwa vocha tena sio 2000 huwa wanasema 5000 sijui ampigie mama anaumwa kumbe changa la macho next time she will beep you telling you kwamba imeisha anaomba umtumie nyingine kumbe changa la macho:lol::lol:
 
Hahahahahahahah lol
kweli bongo kuna vituko
Mchore chini huyo
Hana mbele wala nyuma
Wanawake tunapenda kudekezwa
Tena ile mara ya kwanza mtu anapokutongoza

Huyo kijana alitakiwa akuletee kanga,akupeleke nje kwa dinner,
Na ye ndo akupe vocher

Khaa nani anataka mtu wa mamna hiyo
Angesubiri mpaka umwite mpenzi
Ndo angeanza hayo mambo..

Hembu mweleze ukweli

Na asikukatishe tamaa kwani wanaume wengi
hawako hivyo kabisa..
mwingine ataenda ku kopa fedha ili akufurahishe

Embu achana na hiyo michosho
u deserve better girl...
Amtumie vocha bwana, dah vocha tu tena ya 2000 l.o.l
 
:lol::lol::lol: Kumbe inawauma na nyie kuombwa vocha basi mkae mkijua kuwa na sisi huwa inatu-put off nyie kutuomba vocha every now and then, sweetdada leo imekula kwako acha kubana mtumie mshikaji vocha banaa mbona nyie mkituomba huwa tunawatumia halafu mnaishia kutu-beep:lol::lol::lol:

mkuu umemaliza habari yote.ma she wanapenda sana haki sawa kwenye vitamu tu lakini haki sawa kwenye majukumu ina wa-put off.hapo jamaa hajafanya cha ajabu.anajaribu kudumisha haki sawa.credit yake kapiga na mmeongea kwa dakika tano so inakua zamu yako na wewe kuwezesha mawasiliana coz kama mnaweza kuongea for 5 minutes then ni ushahidi tosha kua hata wewe huwa unaonesha kuenjoy mazungumzo.so kama unaenjoy mazungumzo, cha ajabu ni kipi kuombwa kuchangia kuwezesha mazungumzo yaendelee?
 
Hahahahahahahah lol
kweli bongo kuna vituko
Mchore chini huyo
Hana mbele wala nyuma
Wanawake tunapenda kudekezwa
Tena ile mara ya kwanza mtu anapokutongoza

Huyo kijana alitakiwa akuletee kanga,akupeleke nje kwa dinner,
Na ye ndo akupe vocher

Khaa nani anataka mtu wa mamna hiyo
Angesubiri mpaka umwite mpenzi
Ndo angeanza hayo mambo..

Hembu mweleze ukweli

Na asikukatishe tamaa kwani wanaume wengi
hawako hivyo kabisa..
mwingine ataenda ku kopa fedha ili akufurahishe

Embu achana na hiyo michosho
u deserve better girl...

Well said, thank you afrodenzi..sasa baton ya senks ndo siioni.finally i got someone who supports me.:wink2:
 
Inawezekana wewe ni boss wake huko ofisini,anajua una hela nyingi na labda umemuonyesha unampenda sana na anataka umlee kama mwanae sasa......ha ha ha ha ha.......its a turn off for real,mimi kusema wewe tu hii story nimehisi kutapika....sijui wewe uliyeambiwa....
kama unampenda ongea nae mwambie hupendi,kama huna feelings nae mpotezee!!:washing:
 
Acha ubali SD...sio umpatie hiyo buku mbili ili akupendage zaidi?
 
Fidel, umeshasema "mapenzi kusaidiana"..mi sina mapenzi nae,yeye ndo ananitongoza..sasa iweje uniombe nikucall au vocha wakati hata sijakukubali,je nikikukubali si utaomba mahela mpaka nikome..akaa!hebu nielewe na wewe..au na wewe ndo walewale 'KITONGA'

Sasa si bado anakutongoza bado kidogo utaingia kingi

Jamaa akichanga fresh point zake utaingia king na mtaanza kubenjuka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom