Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu umemaliza habari yote.ma she wanapenda sana haki sawa kwenye vitamu tu lakini haki sawa kwenye majukumu ina wa-put off.hapo jamaa hajafanya cha ajabu.anajaribu kudumisha haki sawa.credit yake kapiga na mmeongea kwa dakika tano so inakua zamu yako na wewe kuwezesha mawasiliana coz kama mnaweza kuongea for 5 minutes then ni ushahidi tosha kua hata wewe huwa unaonesha kuenjoy mazungumzo.so kama unaenjoy mazungumzo, cha ajabu ni kipi kuombwa kuchangia kuwezesha mazungumzo yaendelee?
:lol::lol::lol:mkuu umemaliza habari yote.ma she wanapenda sana haki sawa kwenye vitamu tu lakini haki sawa kwenye majukumu ina wa-put off.hapo jamaa hajafanya cha ajabu.anajaribu kudumisha haki sawa.credit yake kapiga na mmeongea kwa dakika tano so inakua zamu yako na wewe kuwezesha mawasiliana coz kama mnaweza kuongea for 5 minutes then ni ushahidi tosha kua hata wewe huwa unaonesha kuenjoy mazungumzo.so kama unaenjoy mazungumzo, cha ajabu ni kipi kuombwa kuchangia kuwezesha mazungumzo yaendelee?
Sweetdada wewe si umtumie tu hiyo 2000 ili upendwe zaidi l.o.llol..nilijua tu wanaume mtatetea..kam amtu anaamua kuongea for 5 minutes haimaanishi ninaenjoy mazungumzo
siwezi kumkatisha maongezi
na mara nyingi anaishia kulalama tu kuwa simjali simpendi namdharau n.k
mbona wanawake watongozaji akiamua kukucall huwa anaingia cost mwenyewe??ila ukimkubali ndo unalipia cost zoe
sasa kwanini na yeye asifanye hivyoo...haa!!he spoilt my day for real mxii
Inawezekana wewe ni boss wake huko ofisini,anajua una hela nyingi na labda umemuonyesha unampenda sana na anataka umlee kama mwanae sasa......ha ha ha ha ha.......its a turn off for real,mimi kusema wewe tu hii story nimehisi kutapika....sijui wewe uliyeambiwa....
kama unampenda ongea nae mwambie hupendi,kama huna feelings nae mpotezee!!:washing:
Sababu na sisi huwa inatu-put off nyie kufanya kitu ambacho wewe pia haukipendi hapo ujue kuwa na sisi huwa inatukeralol..nilijua tu wanaume mtatetea..kam amtu anaamua kuongea for 5 minutes haimaanishi ninaenjoy mazungumzo
siwezi kumkatisha maongezi
na mara nyingi anaishia kulalama tu kuwa simjali simpendi namdharau n.k
mbona wanawake watongozaji akiamua kukucall huwa anaingia cost mwenyewe??ila ukimkubali ndo unalipia cost zoe
sasa kwanini na yeye asifanye hivyoo...haa!!he spoilt my day for real mxii
Hata mimi naku-support mtumie mshikaji vocha sio vizuri hivyo bwanaWell said, thank you afrodenzi..sasa baton ya senks ndo siioni.finally i got someone who supports me.:wink2:
....ushaambiwa ndo wako stage ya kutongozana unapouliza wanajuana au hawajuani una maanisha nini shem (LZ)?kujuana ndo kupi?:juggle:
ni mfanyakazi mwenzangu so tunafahamiana na namba za simu kwa wafanyakazi humu kwetu kupeana its normal kwa wajili ya kikazi zaidi.sasa mwenzangu badala ya kuitumia kikazi akaamua kuitumia kibinafsi zaidi
Ahaaaa ahaaaa yameisha sweetheart sirudii tena naogopa Kung Fu PandaTF we mbona huniombagi?
Lakini unanipa bila kuomba..
halafu sijui unamtetea ta nini?
Mmmmhhhbhh...
Kumdhalilisha vipi sasa?kwani mfanyakazi mtongozaji ndo ana haki ya kuomba vocha?
angekuwa mshkaji sawa ningeona kawaida,ila siku zoote tuko kama strangers ni hi hi
kumbe mwenzangu anakufa kisabuni ,akaamua kuvunja ukimya
sasa ndo uniombe nikupigie na vocha juu!!
Hivi kuna mtu ananielewa kweli?au wote mnaona namfanyia mbaya????????
Amtumie vocha bwana, dah vocha tu tena ya 2000 l.o.l
hahahhah ..
sina feelings hata chembe yani na yeye anajua mana nimemwambia lakini king'ang'anizi
Ha ha ha ha Mariooooooooooooooo aaahhh wapi Maty
Hahahahahahahah lol
kweli bongo kuna vituko
Mchore chini huyo
Hana mbele wala nyuma
Wanawake tunapenda kudekezwa
Tena ile mara ya kwanza mtu anapokutongoza
Huyo kijana alitakiwa akuletee kanga,akupeleke nje kwa dinner,
Na ye ndo akupe vocher
Khaa nani anataka mtu wa mamna hiyo
Angesubiri mpaka umwite mpenzi
Ndo angeanza hayo mambo..
Hembu mweleze ukweli
Na asikukatishe tamaa kwani wanaume wengi
hawako hivyo kabisa..
mwingine ataenda ku kopa fedha ili akufurahishe
Embu achana na hiyo michosho
u deserve better girl...
Kipenzi mimi mbona nikiwa sina hata 500 huwa nakwambiaHivi kweli TF unataka kusema huyo
Kijana hana2000 au ni mzaha tu?
Hivi kweli TF unataka kusema huyo
Kijana hana2000 au ni mzaha tu?
Kipenzi mimi mbona nikiwa sina hata 500 huwa nakwambia
....ushaambiwa ndo wako stage ya kutongozana unapouliza wanajuana au hawajuani una maanisha nini shem (LZ)?kujuana ndo kupi?:juggle: