Mwanaume kuiomba airtime voucher!!!!

mkuu umemaliza habari yote.ma she wanapenda sana haki sawa kwenye vitamu tu lakini haki sawa kwenye majukumu ina wa-put off.hapo jamaa hajafanya cha ajabu.anajaribu kudumisha haki sawa.credit yake kapiga na mmeongea kwa dakika tano so inakua zamu yako na wewe kuwezesha mawasiliana coz kama mnaweza kuongea for 5 minutes then ni ushahidi tosha kua hata wewe huwa unaonesha kuenjoy mazungumzo.so kama unaenjoy mazungumzo, cha ajabu ni kipi kuombwa kuchangia kuwezesha mazungumzo yaendelee?

lol..nilijua tu wanaume mtatetea..kam amtu anaamua kuongea for 5 minutes haimaanishi ninaenjoy mazungumzo
siwezi kumkatisha maongezi
na mara nyingi anaishia kulalama tu kuwa simjali simpendi namdharau n.k
mbona wanawake watongozaji akiamua kukucall huwa anaingia cost mwenyewe??ila ukimkubali ndo unalipia cost zoe
sasa kwanini na yeye asifanye hivyoo...haa!!he spoilt my day for real mxii
 
mkuu umemaliza habari yote.ma she wanapenda sana haki sawa kwenye vitamu tu lakini haki sawa kwenye majukumu ina wa-put off.hapo jamaa hajafanya cha ajabu.anajaribu kudumisha haki sawa.credit yake kapiga na mmeongea kwa dakika tano so inakua zamu yako na wewe kuwezesha mawasiliana coz kama mnaweza kuongea for 5 minutes then ni ushahidi tosha kua hata wewe huwa unaonesha kuenjoy mazungumzo.so kama unaenjoy mazungumzo, cha ajabu ni kipi kuombwa kuchangia kuwezesha mazungumzo yaendelee?
:lol::lol::lol:
 
lol..nilijua tu wanaume mtatetea..kam amtu anaamua kuongea for 5 minutes haimaanishi ninaenjoy mazungumzo
siwezi kumkatisha maongezi
na mara nyingi anaishia kulalama tu kuwa simjali simpendi namdharau n.k
mbona wanawake watongozaji akiamua kukucall huwa anaingia cost mwenyewe??ila ukimkubali ndo unalipia cost zoe
sasa kwanini na yeye asifanye hivyoo...haa!!he spoilt my day for real mxii
Sweetdada wewe si umtumie tu hiyo 2000 ili upendwe zaidi l.o.l
 
Inawezekana wewe ni boss wake huko ofisini,anajua una hela nyingi na labda umemuonyesha unampenda sana na anataka umlee kama mwanae sasa......ha ha ha ha ha.......its a turn off for real,mimi kusema wewe tu hii story nimehisi kutapika....sijui wewe uliyeambiwa....
kama unampenda ongea nae mwambie hupendi,kama huna feelings nae mpotezee!!:washing:

hahahhah ..

sina feelings hata chembe yani na yeye anajua mana nimemwambia lakini king'ang'anizi
 
lol..nilijua tu wanaume mtatetea..kam amtu anaamua kuongea for 5 minutes haimaanishi ninaenjoy mazungumzo
siwezi kumkatisha maongezi
na mara nyingi anaishia kulalama tu kuwa simjali simpendi namdharau n.k
mbona wanawake watongozaji akiamua kukucall huwa anaingia cost mwenyewe??ila ukimkubali ndo unalipia cost zoe
sasa kwanini na yeye asifanye hivyoo...haa!!he spoilt my day for real mxii
Sababu na sisi huwa inatu-put off nyie kufanya kitu ambacho wewe pia haukipendi hapo ujue kuwa na sisi huwa inatukera
 
TF we mbona huniombagi?
Lakini unanipa bila kuomba..
halafu sijui unamtetea ta nini?
Mmmmhhhbhh...
 
....ushaambiwa ndo wako stage ya kutongozana unapouliza wanajuana au hawajuani una maanisha nini shem (LZ)?kujuana ndo kupi?:juggle:

Shem, soma hilo jibu hapo chini. Hilo la kutongoza unalichomeka wewe :juggle::juggle:


ni mfanyakazi mwenzangu so tunafahamiana na namba za simu kwa wafanyakazi humu kwetu kupeana its normal kwa wajili ya kikazi zaidi.sasa mwenzangu badala ya kuitumia kikazi akaamua kuitumia kibinafsi zaidi
 
Kumdhalilisha vipi sasa?kwani mfanyakazi mtongozaji ndo ana haki ya kuomba vocha?
angekuwa mshkaji sawa ningeona kawaida,ila siku zoote tuko kama strangers ni hi hi
kumbe mwenzangu anakufa kisabuni ,akaamua kuvunja ukimya
sasa ndo uniombe nikupigie na vocha juu!!
Hivi kuna mtu ananielewa kweli?au wote mnaona namfanyia mbaya????????

Tunakuelewa kuliko unavyodhani mamito, wanaume wa hivyo bongo cku hizi wanazidi kuongezeka tena usishangae anakuomba wewe kumbe kuna mtu kamuomba vocha akishachuna kwako amtumie yeye kazi kweli kweli
 
hahahhah ..

sina feelings hata chembe yani na yeye anajua mana nimemwambia lakini king'ang'anizi

Utampa tu wewe tena utaamua kumfikiria japo kwa siku moja baadae utachonga mzinga.

Eti huna feelings nae kwani huyo anae mega sasa hivi ulikuwa na feelings nae? Si alikutongoza kama huyo anavyo fanya?
 
Hahahahahahahah lol
kweli bongo kuna vituko
Mchore chini huyo
Hana mbele wala nyuma
Wanawake tunapenda kudekezwa
Tena ile mara ya kwanza mtu anapokutongoza

Huyo kijana alitakiwa akuletee kanga,akupeleke nje kwa dinner,
Na ye ndo akupe vocher

Khaa nani anataka mtu wa mamna hiyo
Angesubiri mpaka umwite mpenzi
Ndo angeanza hayo mambo..

Hembu mweleze ukweli

Na asikukatishe tamaa kwani wanaume wengi
hawako hivyo kabisa..
mwingine ataenda ku kopa fedha ili akufurahishe

Embu achana na hiyo michosho
u deserve better girl...

wape vidonge vyao wakimeza wakitema ni shauri yao Afro.....mwanaume uombe vocha???? eti nao wataka usawa....basi tukiwa vichwa vya nyumba muwe kimya si kuleta jeuri :washing:
 
Hivi kweli TF unataka kusema huyo
Kijana hana2000 au ni mzaha tu?


sio kama hana na wala si mzaha huyo anamaanisha anachokisema wanaume nao wameanzisha mtindo huo, anachuna huku anaenda kuhonga mbele ya safari
 
Hiyo nayo ni kazi. C unaona kuna inflow na outflow of cash. Sema tatizo inaenda kwenye opposite direction, maji yanataka kupanda mlima! Ungemuomba yeye akupe ungekuja kulalamika?
 
....ushaambiwa ndo wako stage ya kutongozana unapouliza wanajuana au hawajuani una maanisha nini shem (LZ)?kujuana ndo kupi?:juggle:

tatizo hatujui kama walishakutana physically!

gud mornin to yu sweetie..
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom