Kwenye malezi ya mtoto kuna zaidi ya hayo mkuu , ndio maana unaona siku hizi toto linampiga kisu baba yake ili libaki na mali.Mwanaume tafuta pesa kwa bidii, wape watoto elimu bora, wape mahitaji yao muhimu, jenga nyumba nzuri waishi vizuri, lakini ukizeeka usitegemee lolote kutoka kwa wanao.
Enjoy maisha ya uzee kwa pesa zako mwenyewe ulizochuma ujanani.
Wanaume tumeumbiwa mateso ukizaliwa mwanaume ni hakuna mbambamba ni mwendo wa kutoka jasho tuMwanaume tafuta pesa kwa bidii, wape watoto elimu bora, wape mahitaji yao muhimu, jenga nyumba nzuri waishi vizuri, lakini ukizeeka usitegemee lolote kutoka kwa wanao.
Enjoy maisha ya uzee kwa pesa zako mwenyewe ulizochuma ujanani.
Akili za kitoto! We are all investors. Tunapanda ili baadaye tuvune. Kama huwezi kuvuna, yanini kupoteza fedha? Hizo pesa ambazo ulitakiwa kuenjoy uzeeni ndizo unatumia kuinvest kwa mtoto. Acheni akili za kijingaMwanaume tafuta pesa kwa bidii, wape watoto elimu bora, wape mahitaji yao muhimu, jenga nyumba nzuri waishi vizuri, lakini ukizeeka usitegemee lolote kutoka kwa wanao.
Enjoy maisha ya uzee kwa pesa zako mwenyewe ulizochuma ujanani.
Endelea kutegemea watoto wakulee uzeeni.Akili za kitoto! We are all investors. Tunapanda ili baadaye tuvune. Kama huwezi kuvuna, yanini kupoteza fedha? Hizo pesa ambazo ulitakiwa kuenjoy uzeeni ndizo unatumia kuinvest kwa mtoto. Acheni akili za kijinga
Utoto raha sana shida hazina hodi au hazikuandikii baruaMwanaume tafuta pesa kwa bidii, wape watoto elimu bora, wape mahitaji yao muhimu, jenga nyumba nzuri waishi vizuri, lakini ukizeeka usitegemee lolote kutoka kwa wanao.
Enjoy maisha ya uzee kwa pesa zako mwenyewe ulizochuma ujanani.
Maisha sio marahisi kama vijana wengi wanavyoyachukuliaKwenye malezi ya mtoto kuna zaidi ya hayo mkuu , ndio maana unaona siku hizi toto linampiga kisu baba yake ili libaki na mali.
acha wakomae kwenye mazingira yao nami niinjoy na yangu 🐒Mwanaume tafuta pesa kwa bidii, wape watoto elimu bora, wape mahitaji yao muhimu, jenga nyumba nzuri waishi vizuri, lakini ukizeeka usitegemee lolote kutoka kwa wanao.
Enjoy maisha ya uzee kwa pesa zako mwenyewe ulizochuma ujanani.
Kabisa mkuuMaisha sio marahisi kama vijana wengi wanavyoyachukulia
Wenye akili za kitoto hawatanielewa. Hata literature zinaonesha sababu ya kuzaa watoto wengi ni social security ujue. Ref ...... It is suggested, instead, that the primary cause of sub-Saharan Africa's high fertility can be found in its social and family patterns. Central cultural precepts include the notions that many descendents must be produced to ensure the survival of lineage....Endelea kutegemea watoto wakulee uzeeni.
Wenye akili kubwa wameelewa nachomaanisha.
Ushauri mzuri ila ukimlea mtoto wako vyema utakula matunda uzeeni japo hutawategemea ila utafurahia kile ulichopanda kwaoMwanaume tafuta pesa kwa bidii, wape watoto elimu bora, wape mahitaji yao muhimu, jenga nyumba nzuri waishi vizuri, lakini ukizeeka usitegemee lolote kutoka kwa wanao.
Enjoy maisha ya uzee kwa pesa zako mwenyewe ulizochuma ujanani.
Unaweza kuwa sahihi Mkuu kwa upande mwingine lakini mwisho wa siku kwangu hii huwa ni kama kamari yaani inawezekana watoto wakufae na hata wasikufae pia.Tumieni akili. Hivi pesa ya kumtunza mtoto na kukawa na albaki ipo wapi? Inabidi katika maisha uchague kimoja kati ya kuweka pesa ili ikufae uzeeni au uinvest kwa watoto ili wao wakufae uzeeni. Uchaguzi ni wako
Malezi ndio huwa muamuzi mzuri wa hatima ya wewe na wanao pindi umri wako utakapoenda.Mwanaume tafuta pesa kwa bidii, wape watoto elimu bora, wape mahitaji yao muhimu, jenga nyumba nzuri waishi vizuri, lakini ukizeeka usitegemee lolote kutoka kwa wanao.
Enjoy maisha ya uzee kwa pesa zako mwenyewe ulizochuma ujanani.
akili za kijima na za kimasikini hiziVijana msiwe wapuuzi na wabinafsi. Sasa hivi mchagga anayeishi Moshi asiye na mtoto nje ana hali mbaya. Tunazaa ili waje watufae baadaye. Ndilo fao la uzeeni. High fertility in sub-Saharan Africa - PubMed