Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Sasa hata ukijua SI KESHAFAIDI HUKO!!!!!! Isitoshe evidence haijitoshelezi ku kumcomvic the accused! Dawa yake moja tu ! Ni kutumia KATIBA ya mabibi! Akienda outside kitu chasinyaaaaa kama cha mtoto! Akirudi rijali kweli kweli!
PREVENTION IS BETTER THAN CURE!!!!!!!!!!
Nchi hii ina watu wapenda ushirikina kwenye mapenzi sijapata ona...na hakuna anayefanikiwaga....nionyeshe mmoja nikuonyeshe mia moja walioshindwa hohe hahe.