Mamzalendo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 1,670
- 558
Huku kuropoka kunavuka mipaka sasa,
huyu DC siyo CHAGUO LA MUNGU.
Huyu DC si ndiye alikuwa mwalimu wa Kiswahili pale Ilboru hadi Mwezi April mwaka huu? Anadhani yupo class nini?
hata hivyo, kwa sheria za serikali za mitaa, DC si msemaji wa halmashauri, na pia si mwajiri wa wafanyakazi wa halmashauri, hivyo kwenda kutoa maneno ya kudhalilisha , ni kinyume cha sheria
alaaniwe gambo na iwe aibu kwa mama yake kwa kumlea bila ya adabu
Nafasi ya Ukuu wa Wilaya ni kufutiliwa mbali..........
Wapo wengi wenye digree za chupi kama S. Simba, Ghasia nk
Mkuu wa wilaya korogwe ndugu Mrisho Gambo amemwambia mwanasheria wa wilaya hii kuwa ana degree ya
chupi kufuatia majibu ya mwanasheria huyo dhidi ya kesi kati ya wafanyabiashara na halmashaur.
Mwanasheria huyo alishindwa kutoa maelezo ya kina juu ya sakata hilo ndipo dc akaamua amchane ......, source: mwananchi
Tatizo la KUCHAGUA Marafiki ya Watoto Wake... DC ni IT Specialist... LINI SIASA ya U-DC?
Sikujua kama kuna cheti cha kozi ya DC. kumbe mkuu wa wilaya lazima awe na SIASA YA U-DC
Ya chuo gani mkuu, labda naye kaipata kwa kushikishwa ukuta. Kwa vyovyote huyu aliyedhalilishwa atashinda kesi ingawa kiasi cha madhara si lazima kiwe hiyo 90m. Kiasi chochote mahakama itakachoamuru kulipwa, huyu kichaa Gambo akilipe toka mfukoni kwake kwani serikali haikumtuma kwenda kudhalilisha wananchi.