Mkuu wa wilaya korogwe ndugu Mrisho Gambo amemwambia mwanasheria wa wilaya hii kuwa ana degree ya
chupi kufuatia majibu ya mwanasheria huyo dhidi ya kesi kati ya wafanyabiashara na halmashaur.
Mwanasheria huyo alishindwa kutoa maelezo ya kina juu ya sakata hilo ndipo dc akaamua amchane ......, source: mwananchi
Angetoaje Maelezo wakati Kesi Ilikuwa Mahakamani? Nadhan Huyu Mwanasheria she was so Smart!! Labda Huyu DC ndio mwenye Degree ya Kaptula!! Au alikuwa anamtaka kimapenzi!! Hili ni shambulio la aibu!!