mbolimboli
Member
- Dec 17, 2010
- 11
- 0
Wewe ni judge halafu unatamka maneno hayo kesi gani utaifanyia haki? Marekabisho kwa kuandika katiba ni lazima huwezi kushindana na PEOPLES POWER. Wewe unatulinganisha wenzio na BATA tuonee huruma mambo mazuri huanzishwa na wachache kwani akili ni nywele kila mtu ana zake au wewe huna nywele au vyote kwa pamoja?