Yeye anasema mbali kihivyo!!! Nadhani miaka 4 ijayo Tz tutakuwa tushaenda kuishi na mashetani wenzetu tiyari. Kwa mwendo kasi huu!! Asubuhi kukicha mtu anatamani kufunga madirisha asiue ka kumekucha, kelele za watoto wa irani waliolala njaa zinakuamsha. Siingojei miaka hiyo