OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Wana Bodi
Usiku Wa kuamkia Leo kilifanyika kikao cha Wanachama Wa Saccos ya Mwananchi Communications ltd Na kuamua kumpigia Kura ya kutokua na Imani Mzee Theophil Makunga kwa Ufisadi Wa Tsh 24m.
Makunga kwa heshima tulimchagua na kumpa Uenyekiti Wa Saccos yetu mwaka huu akaamua Kuizia Saccos Gari aina ya Rav4 ambayo ni mbovu alikua anaitumia yeye Binafsi Gari hiyo aliinua Miaka mitano ilopita Hakufata Utaratibu Wa manunuzi tuliokiwekea akaamua Kuizia Saccos Gari mbovu kwa Bei ambayo ni zaidi ya Bei ya Soko Rav4 ya aina ya mwaka 1995 unauzwa 14 Mpaka 16 lakini yy alijilipa 24m
Tuhuma ya Pili alijipa Mkopo Wa Tsh 34m bila kufata utaratibu kikao kiliamua kumuondoa ktk uongozi wakati Hatua zingine zikifata
Kikao kilimchagua Bi Hawra Shamte na Midraj Ibrahim Kuongoza Saccos yetu sisi Kama chombo cha Habari tunapinga Ufisadi na Ubadhirifu hatuwezi Kuvumilia aina hii ya Wizi kwa kiongozi wetu
Usiku Wa kuamkia Leo kilifanyika kikao cha Wanachama Wa Saccos ya Mwananchi Communications ltd Na kuamua kumpigia Kura ya kutokua na Imani Mzee Theophil Makunga kwa Ufisadi Wa Tsh 24m.
Makunga kwa heshima tulimchagua na kumpa Uenyekiti Wa Saccos yetu mwaka huu akaamua Kuizia Saccos Gari aina ya Rav4 ambayo ni mbovu alikua anaitumia yeye Binafsi Gari hiyo aliinua Miaka mitano ilopita Hakufata Utaratibu Wa manunuzi tuliokiwekea akaamua Kuizia Saccos Gari mbovu kwa Bei ambayo ni zaidi ya Bei ya Soko Rav4 ya aina ya mwaka 1995 unauzwa 14 Mpaka 16 lakini yy alijilipa 24m
Tuhuma ya Pili alijipa Mkopo Wa Tsh 34m bila kufata utaratibu kikao kiliamua kumuondoa ktk uongozi wakati Hatua zingine zikifata
Kikao kilimchagua Bi Hawra Shamte na Midraj Ibrahim Kuongoza Saccos yetu sisi Kama chombo cha Habari tunapinga Ufisadi na Ubadhirifu hatuwezi Kuvumilia aina hii ya Wizi kwa kiongozi wetu