Bango lako zuri...😂Nyie kizazi cha 1990...
Mnachojua ni kutach tu simu,
Huwezi ona aibu kama unampenda mkeo au ni mrembo utajisikia fahari sana.Ndugu wana Jf salaam
Ndugu zangu kiukweli nime choshwa na hii tabia ya huyu mwanamke wangu na nime muonya sana na kumkwepa kijanja lakini bado hasikii kabisa.
Ndugu huyu mwanamke kila ninapotoka naye out na tunaongozana analazimisha sana ni mbebe pochi yake na nimshike mkono .
Yani utakuta mkono wa kushoto umemshika yeye na mkono wa kuume ume beba pochi yake, mbaya zaidi ndani ya pochi yake kaweka kila kitu chake cha kike na simu yake humo humo na akitaka kitu utasikia fungua unitolee na nikikataa na kumwambia pokea utoe wewe ni ugomvi njia nzima kwa kweli hadi raha inaniisha
Ndugu nimejaribu sana kumkwepa ila sasa naona anataka kuniendesha kisaikolojia na sijui ana maana gani, kuna mda nikiwa nae utasikia baby nishikie pochi yangu kidogo nataka kwenda kujisitiri na nikishika ni kwisha habari yangu nitaibeba njia nzima mpaka siku iishe na nirudi nayo nyumbani
Hii tabia yake inanikwaza sana mimi
Ndugu huyu mwanamke ni mfanyaje maana kero yake kubwa ni hii ya kubebana na mapochi njiani.
Ndiyo mkuu ni kero sana kutoka kwa hawa wanawake wetu na sijui wameigia wapiMi hata sitaki kununua walet sitaki kubeba mfuko ndani ya mfuko kumbe kuna wengine mnabebeshwa mabagi ah samahani bwana. Munabebeshwa mapochi kutwa nzima
Sawa mkuuPochi si mchezo tembea na begi mkuu, vitu vyake tia kwenye begi lako
Na hudumia mimi ila naona kama anataka kunitawala mkuu, hizi dalili naziona sanaHivi! Wanawake wa hivyo huwa mnawatolea wapi! Mkuu you need to be a real men na uongee kwa vitendo nasio kwa maneno pekee kuwa hupendi huo ujinga.
Afu inavyonekana anakudharau sana au yeye ndio anakuhudumia kwa kila kitu.
Cha kufanya tafta shughuli ya kufanya tu. Achana na ubeba pochiNdugu wana Jf salaam
Ndugu zangu kiukweli nime choshwa na hii tabia ya huyu mwanamke wangu na nime muonya sana na kumkwepa kijanja lakini bado hasikii kabisa.
Ndugu huyu mwanamke kila ninapotoka naye out na tunaongozana analazimisha sana ni mbebe pochi yake na nimshike mkono .
Yani utakuta mkono wa kushoto umemshika yeye na mkono wa kuume ume beba pochi yake, mbaya zaidi ndani ya pochi yake kaweka kila kitu chake cha kike na simu yake humo humo na akitaka kitu utasikia fungua unitolee na nikikataa na kumwambia pokea utoe wewe ni ugomvi njia nzima kwa kweli hadi raha inaniisha
Ndugu nimejaribu sana kumkwepa ila sasa naona anataka kuniendesha kisaikolojia na sijui ana maana gani, kuna mda nikiwa nae utasikia baby nishikie pochi yangu kidogo nataka kwenda kujisitiri na nikishika ni kwisha habari yangu nitaibeba njia nzima mpaka siku iishe na nirudi nayo nyumbani
Hii tabia yake inanikwaza sana mimi
Ndugu huyu mwanamke ni mfanyaje maana kero yake kubwa ni hii ya kubebana na mapochi njiani.
Ndugu wana Jf salaam
Ndugu zangu kiukweli nime choshwa na hii tabia ya huyu mwanamke wangu na nime muonya sana na kumkwepa kijanja lakini bado hasikii kabisa.
Ndugu huyu mwanamke kila ninapotoka naye out na tunaongozana analazimisha sana ni mbebe pochi yake na nimshike mkono .
Yani utakuta mkono wa kushoto umemshika yeye na mkono wa kuume ume beba pochi yake, mbaya zaidi ndani ya pochi yake kaweka kila kitu chake cha kike na simu yake humo humo na akitaka kitu utasikia fungua unitolee na nikikataa na kumwambia pokea utoe wewe ni ugomvi njia nzima kwa kweli hadi raha inaniisha
Ndugu nimejaribu sana kumkwepa ila sasa naona anataka kuniendesha kisaikolojia na sijui ana maana gani, kuna mda nikiwa nae utasikia baby nishikie pochi yangu kidogo nataka kwenda kujisitiri na nikishika ni kwisha habari yangu nitaibeba njia nzima mpaka siku iishe na nirudi nayo nyumbani
Hii tabia yake inanikwaza sana mimi
Ndugu huyu mwanamke ni mfanyaje maana kero yake kubwa ni hii ya kubebana na mapochi njiani.
Mapenzi ya kwenye tamthilia za wakorea na wafilipino hayo. Huo upuuzi siwezi kufanyaNdugu wana Jf salaam
Ndugu zangu kiukweli nime choshwa na hii tabia ya huyu mwanamke wangu na nime muonya sana na kumkwepa kijanja lakini bado hasikii kabisa.
Ndugu huyu mwanamke kila ninapotoka naye out na tunaongozana analazimisha sana ni mbebe pochi yake na nimshike mkono .
Yani utakuta mkono wa kushoto umemshika yeye na mkono wa kuume ume beba pochi yake, mbaya zaidi ndani ya pochi yake kaweka kila kitu chake cha kike na simu yake humo humo na akitaka kitu utasikia fungua unitolee na nikikataa na kumwambia pokea utoe wewe ni ugomvi njia nzima kwa kweli hadi raha inaniisha
Ndugu nimejaribu sana kumkwepa ila sasa naona anataka kuniendesha kisaikolojia na sijui ana maana gani, kuna mda nikiwa nae utasikia baby nishikie pochi yangu kidogo nataka kwenda kujisitiri na nikishika ni kwisha habari yangu nitaibeba njia nzima mpaka siku iishe na nirudi nayo nyumbani
Hii tabia yake inanikwaza sana mimi
Ndugu huyu mwanamke ni mfanyaje maana kero yake kubwa ni hii ya kubebana na mapochi njiani.
AaahaaaaSa kama wewe unashindwa kumgomea sisi tutawezaje kukusaidia?
Endelea kubeba