Mwanamke wa Dar

Bitoz nyangema siwezi kukimbia nilikuwa bize nakusanya mifugo si nilikuambia 2 naingia hapo dsalaam nataka nikuletee sato na kuku wa kienyeji vipi tukutane wapi mtani?
 
Bitoz nyangema siwezi kukimbia nilikuwa bize nakusanya mifugo si nilikuambia 2 naingia hapo dsalaam nataka nikuletee sato na kuku wa kienyeji vipi tukutane wapi mtani?
Usije we Mporipori utalala wapi utafikiri huku sawa na Ndanda .....hatupokei watu washamba

 
Natokea rock city mtaa mmoja unaitwa mwananchi mifugo huwa naikusanya kutoka magu kwimba misungwi sengerema ndio niwaletee wavulana wa dslaam hata kazi hamtaki mnataka kulelewa tu marioo
 
Natokea rock city mtaa mmoja unaitwa mwananchi mifugo huwa naikusanya kutoka magu kwimba misungwi sengerema ndio niwaletee wavulana wa dslaam hata kazi hamtaki mnataka kulelewa tu marioo
Tz kuna niji 1 tu ......Joto City mengine yote vijiji na mapori tu ndo chimbuko lenu waporipori
 
Jiji gani chafu namna hiyo mjitahidi kufanya usafi sio kujichubua tu kama wacongo vile
Nyie endeleeni kupaka majivu huko porini na mafuta ya nazi huku tunatumia vitu vya kimataifa....unafikiri tunapewa bure au hatufanyi kazi?
 
Nyie endeleeni kupaka majivu huko porini na mafuta ya nazi huku tunatumia vitu vya kimataifa....unafikiri tunapewa bure au hatufanyi kazi?
1469809449003.jpg
1469809499239.jpg
hongereni kwa maendeleo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom