Usije we Mporipori utalala wapi utafikiri huku sawa na Ndanda .....hatupokei watu washambaBitoz nyangema siwezi kukimbia nilikuwa bize nakusanya mifugo si nilikuambia 2 naingia hapo dsalaam nataka nikuletee sato na kuku wa kienyeji vipi tukutane wapi mtani?
Tz kuna niji 1 tu ......Joto City mengine yote vijiji na mapori tu ndo chimbuko lenu waporiporiNatokea rock city mtaa mmoja unaitwa mwananchi mifugo huwa naikusanya kutoka magu kwimba misungwi sengerema ndio niwaletee wavulana wa dslaam hata kazi hamtaki mnataka kulelewa tu marioo
Nyie endeleeni kupaka majivu huko porini na mafuta ya nazi huku tunatumia vitu vya kimataifa....unafikiri tunapewa bure au hatufanyi kazi?
Inaonekana unawapa promo hao ni mashoga hawana uhusiano na tunachotanianaView attachment 373018View attachment 373019hongereni kwa maendeleo
Teh teh teh teh teh!! Ukisikia uwiiiii fahamu jiwe limetua utosini.Inaonekana unawapa promo hao ni mashoga hawana uhusiano na tunachotaniana
Huyu Sudan kaka Bongo labda akina WolperView attachment 373020
Kitu km hiki waporipori hawagusi
Ok
Kaendeleze kilimo cha mapapai